Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
ππππ Ss hivi asichepuke tena tutamdundaSijui hata labda alichepuka na wanajua ana mchumba mmoja tu ambae ni mimππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππ Ss hivi asichepuke tena tutamdundaSijui hata labda alichepuka na wanajua ana mchumba mmoja tu ambae ni mimππππππ
Ety alisema me sijui kupikaπππππππ weee sasa kwann achepuke??
Ntampasua meno tukose woteππππππππ Ss hivi asichepuke tena tutamdunda
Oyoooooooo.!!! Bina harusi tunayo na mlivyopendezana na Poker sasa awwww π₯°π₯°π₯°Naolewa na mchumba angu Poker.
Ananipeleka kijijini huko nikalime na kufuga mijimoo na minguruwe.
ππππ Mwambie akufundishe, kikubwa ugali mkubwa unajua kusonga sio issue banaEty alisema me sijui kupikaπππ
Nitakusaidia binamu ππππNtampasua meno tukose woteππππ
Amesema hana muda huo πππππππππ Mwambie akufundishe, kikubwa ugali mkubwa unajua kusonga sio issue bana
Eeeeeeh hapo ntafuraiNitakusaidia binamu ππππ
πππ hana jeuri hiyo anakupenda sana huyo, bina halafu uzi wa selfika umerudi π€£π€£π€£Amesema hana muda huo πππππ
Pesa zipo sio shida zakeπ€£π€£π€£π€£π€£Oyoooooooo.!!! Bina harusi tunayo na mlivyopendezana na Poker sasa awwww π₯°π₯°π₯°
Poker hana baya, na pesa si anazo? π
Tuko sambamba bina mpk watuue πππEeeeeeh hapo ntafurai
Mi nimepigwa ban alafu sina kosa loloteπ€£π€£π€£π€£π€£πππ hana jeuri hiyo anakupenda sana huyo, bina halafu uzi wa selfika umerudi π€£π€£π€£
ππππ Asije kutuomba vocha bana, umemchunguza vzr lakini bina??Pesa zipo sio shida zakeπ€£π€£π€£π€£π€£
ππππ Na mi nashangaa nimekuta notification ya ban, hata wasingejisumbua mods mana nilishaamua kuachana nao kitamboMi nimepigwa ban alafu sina kosa loloteπ€£π€£π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£Wacha watupe ban wabaki wenye uzi wao kina binti masozy.ππππ Na mi nashangaa nimekuta notification, hata wasingejisumbua mods mana nilushaamua kuachana nao kitambo
Sema utapoa km mkojo wa ngedere, ule uzi ulitakiwa uchangamshwe uwe heya heya, hiya hiya full mparara π€£π€£π€£π€£
Kwanini unataja mwaka wangu wa kuzaliwaDepal 2007
ππππ binti whaaaaaaaaaatttt!!!!!π€£π€£π€£π€£Wacha watupe ban wabaki wenye uzi wao kina binti masozy.
Sie wengine wapambe nuksi tukae kandoπ€£π€£π€£π€£
Nani huyoooo πππ€£π€£π€£ππππ binti whaaaaaaaaaatttt!!!!!
Aiseee!! Kuna mmoja kashaharibu huko kaenda na id mpya halafu kajiselfie na picha yake ya zamani nimechekaβ¦. Wananzengo wamemshtukia ππππ
Hivi kuna watu kumbe hawawezi kuishi bila uzi wa selfika?? Mi wamenipiga ban ya kuchangia ila manjegeka nayaona vzrβ¦.
πππ€£π€£Kwanini unataja mwaka wangu wa kuzaliwa
πππ kitu kinakita sio? Ngoja nifanye maarifa ππAlooooh [emoji1787] sio poa D ebu fanya uje uchukue hii kitu au tuma hela nikununulie nikutumie