Nimelia π€£π€£ nipe alpellah nile nitulieNakujua kama sala ya baba yetu π
πππJana wasap ulinikosa kuanzia saa ngapi? Nililala saa 2 na nusu. Nimeamka 12 kasoro ππ
Nipo Salama kabisa DadaNashukuru Kaka Elli
Natumaini upo salama kabisa...
π€£π€£π€£ Hebu nifundishe ujambazi huoWe si hunijui π
Nadhani raraa reree amekariri mpaka kope. Ila ungepitia comments ungejua sbb nilifungiwa hii kwa miezi miwili kisa name calling. Ndio nikadaka ile na nikajisema ni nani.
Kuna moja nimeisahau paxwad mpk email. Siwezi ipata tena,, ilikuwa ina jina zuri nalipenda. Nilikuwa namzingua nayo Mahonda πππ mpk hiyo siku Makiwendo akanidaka na Mahoo akaona
Nakutumia voice note wasap ππ€£π€£π€£ Hebu nifundishe ujambazi huo
ππππππ
Mimi siwezi lala muda mrefu hivyo akii', nililala satano tena usingizi ulikuja baada ya ku sip, satisa nikawa macho ndiyo kuja kushtuka kumi na mbili tena..
Nasubiri kwa haraka zaidiπππNakutumia voice note wasap π
[emoji23][emoji23] wee unamkumbuka yule mmiliki wa ile matipo iliyokujaga makapuku kujifanya inajua sana uswahili kutukana? Sasa kama huyo wala si uadui, ni vile unamfungia vioo tu.
πππππ weee kumbe ulikuwa na id ya kumzingua udugu wangu?? Ila JF ni kichaka, halafu ndio ushinde unagombana na watu humu aiseee utaugua uchizi..!!!We si hunijui π
Nadhani raraa reree amekariri mpaka kope. Ila ungepitia comments ungejua sbb nilifungiwa hii kwa miezi miwili kisa name calling. Ndio nikadaka ile na nikajisema ni nani.
Kuna moja nimeisahau paxwad mpk email. Siwezi ipata tena,, ilikuwa ina jina zuri nalipenda. Nilikuwa namzingua nayo Mahonda πππ mpk hiyo siku Makiwendo akanidaka na Mahoo akaona
π€£π€£π€£π€£Mbongo yake mipopcorn ya chumvi
Na humpi kinywaji, π€£π€£ hapo anaweza maliza files zote.
ππ kwenye vagi uje na ID yako[emoji1787][emoji1787] namkumbuka na nilimwambia njoo na id yako tuliyokuzoea usijifiche kwenye kichaka cha id fake, mpaka akala ban makapuku uje ukiwa na akili nzuri kabisa
No. Nilipewa ban ndefu na hii.. nikafungua ile π€£ nikawa namchatisha chatsha. Sio kama ye akija na nyingine ni mitusi tu asbh mpk uskuπππππ weee kumbe ulikuwa na id ya kumzingua udugu wangu?? Ila JF ni kichaka, halafu ndio ushinde unagombana na watu humu aiseee utaugua uchizi..!!!
Unakuta id mpya ila ina taarifa zote za matukio ya humu..!!!
ππππ huyo katisha aiseee!!No. Nilipewa ban ndefu na hii.. nikafungua ile π€£ nikawa namchatisha chatsha. Sio kama ye akija na nyingine ni mitusi tu asbh mpk usku
Huku acha tu. Nilikutana pm na mtongozo wa id mbili zinamilikiwa na mtu 1 π€£π€£π€£
Niligundua kwenye picha aliyoshare πππ nikamtonya. Akanambia chill. Nimemeza hadi leo yan
Kumbe makapuku huwa ina hit eeh? sijawahi kujuaπ[emoji1787][emoji1787] namkumbuka na nilimwambia njoo na id yako tuliyokuzoea usijifiche kwenye kichaka cha id fake, mpaka akala ban makapuku uje ukiwa na akili nzuri kabisa
Na mi ndio napenda hivi!! Kwenye vagi ukija njoo na id yako iliyozoeleka inaleta raha. Mnachachuana mpk kila mmoja akitoka hapo anachekea pembeni ππππππ kwenye vagi uje na ID yako
Hizo zingine tumia labda ukiwa banned. Ila kutumia fake kutukana watu unakuwa mshamba tu.
Nadhani alisahau km alisha share ile picha π€£ππππ huyo katisha aiseee!!
Kwahiyo alitaka kugundua nini sasa kukutongoza na id zote mbili??
JF members wanachekesha sana km una mawenge utaonekana kituko..!!
Mimi nashangaa huwa unatoaga wapi taarifaπ€£π€£π€£πππππ weee kumbe ulikuwa na id ya kumzingua udugu wangu?? Ila JF ni kichaka, halafu ndio ushinde unagombana na watu humu aiseee utaugua uchizi..!!!
Unakuta id mpya ila ina taarifa zote za matukio ya humu..!!!
Anapewa na udugu π€£π€£π€£Mimi nashangaa huwa unatoaga wapi taarifaπ€£π€£π€£
Kuna umuhimu wa kufunga pm wallahπ€£π€£π€£ππππ huyo katisha aiseee!!
Kwahiyo alitaka kugundua nini sasa kukutongoza na id zote mbili??
JF members wanachekesha sana km una mawenge utaonekana kituko..!!