Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Jana wasap ulinikosa kuanzia saa ngapi? Nililala saa 2 na nusu. Nimeamka 12 kasoro 😂😂
😂😂😂
Mimi siwezi lala muda mrefu hivyo akii', nililala satano tena usingizi ulikuja baada ya ku sip, satisa nikawa macho ndiyo kuja kushtuka kumi na mbili tena..
 
We si hunijui 😆
Nadhani raraa reree amekariri mpaka kope. Ila ungepitia comments ungejua sbb nilifungiwa hii kwa miezi miwili kisa name calling. Ndio nikadaka ile na nikajisema ni nani.

Kuna moja nimeisahau paxwad mpk email. Siwezi ipata tena,, ilikuwa ina jina zuri nalipenda. Nilikuwa namzingua nayo Mahonda 😂😂😂 mpk hiyo siku Makiwendo akanidaka na Mahoo akaona
🤣🤣🤣 Hebu nifundishe ujambazi huo
 
😂😂😂
Mimi siwezi lala muda mrefu hivyo akii', nililala satano tena usingizi ulikuja baada ya ku sip, satisa nikawa macho ndiyo kuja kushtuka kumi na mbili tena..
😂😂😂
That's why I sip my alcohol
I don't wanna reason bad things no more
I don't wanna go back to where I dey before
Make nobody stress me, no disturb me jo jo jooo

Mimi nina usingizi… hata saa 1 me nalala,,
 
[emoji23][emoji23] wee unamkumbuka yule mmiliki wa ile matipo iliyokujaga makapuku kujifanya inajua sana uswahili kutukana? Sasa kama huyo wala si uadui, ni vile unamfungia vioo tu.

[emoji1787][emoji1787] namkumbuka na nilimwambia njoo na id yako tuliyokuzoea usijifiche kwenye kichaka cha id fake, mpaka akala ban makapuku uje ukiwa na akili nzuri kabisa
 
We si hunijui 😆
Nadhani raraa reree amekariri mpaka kope. Ila ungepitia comments ungejua sbb nilifungiwa hii kwa miezi miwili kisa name calling. Ndio nikadaka ile na nikajisema ni nani.

Kuna moja nimeisahau paxwad mpk email. Siwezi ipata tena,, ilikuwa ina jina zuri nalipenda. Nilikuwa namzingua nayo Mahonda 😂😂😂 mpk hiyo siku Makiwendo akanidaka na Mahoo akaona
😂😂😂😂😂 weee kumbe ulikuwa na id ya kumzingua udugu wangu?? Ila JF ni kichaka, halafu ndio ushinde unagombana na watu humu aiseee utaugua uchizi..!!!
Unakuta id mpya ila ina taarifa zote za matukio ya humu..!!!
 
[emoji1787][emoji1787] namkumbuka na nilimwambia njoo na id yako tuliyokuzoea usijifiche kwenye kichaka cha id fake, mpaka akala ban makapuku uje ukiwa na akili nzuri kabisa
😂😂 kwenye vagi uje na ID yako
Hizo zingine tumia labda ukiwa banned. Ila kutumia fake kutukana watu unakuwa mshamba tu.
 
😂😂😂😂😂 weee kumbe ulikuwa na id ya kumzingua udugu wangu?? Ila JF ni kichaka, halafu ndio ushinde unagombana na watu humu aiseee utaugua uchizi..!!!
Unakuta id mpya ila ina taarifa zote za matukio ya humu..!!!
No. Nilipewa ban ndefu na hii.. nikafungua ile 🤣 nikawa namchatisha chatsha. Sio kama ye akija na nyingine ni mitusi tu asbh mpk usku

Huku acha tu. Nilikutana pm na mtongozo wa id mbili zinamilikiwa na mtu 1 🤣🤣🤣
Niligundua kwenye picha aliyoshare 😆😆😆 nikamtonya. Akanambia chill. Nimemeza hadi leo yan
 
No. Nilipewa ban ndefu na hii.. nikafungua ile 🤣 nikawa namchatisha chatsha. Sio kama ye akija na nyingine ni mitusi tu asbh mpk usku

Huku acha tu. Nilikutana pm na mtongozo wa id mbili zinamilikiwa na mtu 1 🤣🤣🤣
Niligundua kwenye picha aliyoshare 😆😆😆 nikamtonya. Akanambia chill. Nimemeza hadi leo yan
😂😂😂😂 huyo katisha aiseee!!
Kwahiyo alitaka kugundua nini sasa kukutongoza na id zote mbili??
JF members wanachekesha sana km una mawenge utaonekana kituko..!!
 
[emoji1787][emoji1787] namkumbuka na nilimwambia njoo na id yako tuliyokuzoea usijifiche kwenye kichaka cha id fake, mpaka akala ban makapuku uje ukiwa na akili nzuri kabisa
Kumbe makapuku huwa ina hit eeh? sijawahi kujua😂
 
😂😂 kwenye vagi uje na ID yako
Hizo zingine tumia labda ukiwa banned. Ila kutumia fake kutukana watu unakuwa mshamba tu.
Na mi ndio napenda hivi!! Kwenye vagi ukija njoo na id yako iliyozoeleka inaleta raha. Mnachachuana mpk kila mmoja akitoka hapo anachekea pembeni 😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂 weee kumbe ulikuwa na id ya kumzingua udugu wangu?? Ila JF ni kichaka, halafu ndio ushinde unagombana na watu humu aiseee utaugua uchizi..!!!
Unakuta id mpya ila ina taarifa zote za matukio ya humu..!!!
Mimi nashangaa huwa unatoaga wapi taarifa🤣🤣🤣
 
😂😂😂😂 huyo katisha aiseee!!
Kwahiyo alitaka kugundua nini sasa kukutongoza na id zote mbili??
JF members wanachekesha sana km una mawenge utaonekana kituko..!!
Kuna umuhimu wa kufunga pm wallah🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom