Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mimi nipo swahiba 😀Hahahaa. Lol.
Nakusalimia Swahiba. 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nipo swahiba 😀Hahahaa. Lol.
Nakusalimia Swahiba. 😀
Tusio na pesa na tunajishaua ndio basi tenaHamna mtu anayeshindana hapa ila mashauzi yanahitaji pesa jamaniiii [emoji1787]
Tusio na pesa na tunajishaua ndio basi tena
Ila siyo mbaya
Iphone inakwenda kupatikana hata kwa kuforce
Nimebold 🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787] mjishaue lakini mjiangalie mara mbili mbili una niniiii
Nimebold [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ana dhambi[emoji1787][emoji1787] Rangi mbili ya niniii
Tuna makapu[emoji1787][emoji1787] mjishaue lakini mjiangalie mara mbili mbili una niniiii
Ana dhambi
Anamaanisha kota za hereni za makopo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtoto mbaya sana
Tuna makapu
Hatujareee
Tumekukosea nn 🤣Watu wa iphone siyo watu
Watu wa iphone siyo watu
Unamng’ong’a boss wako 😂😂😂Watu wa Itel tunasema haiwezekani
Tutajibu tu mapigo,ngoja boss wetu atimbe hapa
Shunie nimeona mziki wetu na gram 20 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naikwoti inakataa
Tutafika tu 🤣Nimecheka sanaaaa [emoji23][emoji23][emoji23] ila Anne [emoji1316]
Tutafika tu [emoji1787]
Kaa kaaa mpaka jioni bana 🤣😂 tukihama hapa, tunahamia makapukuUna bahatiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nilikuwa nafuta nishaanza kufuta maneno ndio maana huwezi kuquote halafu ujue huku umenileta wewe ebu nitoke nirudi zangu makapuku kwangu
Dada Shunie nimeona kupitia comment ya dee aliyokwoti 😍😍😍😍Nakazia 🤣🤣🤣
Hapo ni 13 pro/ 14 pro.. sbb naiona fupi haina urefu wa PM
Ma PM mabaya
Ule urefu na uzito
😂😂😂😂😂 unamng’ata boss wakoMshahara wa Mwalimu wote umeuweka mezani🙌🏿