Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Shunie nimeona mziki wetu na gram 20 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naikwoti inakataa

Una bahatiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nilikuwa nafuta nishaanza kufuta maneno ndio maana huwezi kuquote halafu ujue huku umenileta wewe ebu nitoke nirudi zangu makapuku kwangu
 
Una bahatiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nilikuwa nafuta nishaanza kufuta maneno ndio maana huwezi kuquote halafu ujue huku umenileta wewe ebu nitoke nirudi zangu makapuku kwangu
Kaa kaaa mpaka jioni bana 🤣😂 tukihama hapa, tunahamia makapuku
 
Nakazia 🤣🤣🤣
Hapo ni 13 pro/ 14 pro.. sbb naiona fupi haina urefu wa PM

Ma PM mabaya
Ule urefu na uzito
Dada Shunie nimeona kupitia comment ya dee aliyokwoti 😍😍😍😍
Hiyo rangi ya Dubenga kabisaa!!
Hivi kumbe ni chuma hivi?? Nyie Mungu anaumba jamani, ntaliaaaaaaaaaa mimi!!
Sasa nishajua kwann hubabaishwi kumbe unaringia uzuri 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom