Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mimi nipo swahiba πHahahaa. Lol.
Nakusalimia Swahiba. π
Tusio na pesa na tunajishaua ndio basi tenaHamna mtu anayeshindana hapa ila mashauzi yanahitaji pesa jamaniiii [emoji1787]
Tusio na pesa na tunajishaua ndio basi tena
Ila siyo mbaya
Iphone inakwenda kupatikana hata kwa kuforce
Nimebold π€£π€£π€£π€£[emoji1787][emoji1787] mjishaue lakini mjiangalie mara mbili mbili una niniiii
Nimebold [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ana dhambi[emoji1787][emoji1787] Rangi mbili ya niniii
Tuna makapu[emoji1787][emoji1787] mjishaue lakini mjiangalie mara mbili mbili una niniiii
Ana dhambi
Anamaanisha kota za hereni za makopo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtoto mbaya sana
Tuna makapu
Hatujareee
Tumekukosea nn π€£Watu wa iphone siyo watu
Watu wa iphone siyo watu
Unamngβongβa boss wako πππWatu wa Itel tunasema haiwezekani
Tutajibu tu mapigo,ngoja boss wetu atimbe hapa
Shunie nimeona mziki wetu na gram 20 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naikwoti inakataa
Tutafika tu π€£Nimecheka sanaaaa [emoji23][emoji23][emoji23] ila Anne [emoji1316]
Tutafika tu [emoji1787]
Kaa kaaa mpaka jioni bana π€£π tukihama hapa, tunahamia makapukuUna bahatiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nilikuwa nafuta nishaanza kufuta maneno ndio maana huwezi kuquote halafu ujue huku umenileta wewe ebu nitoke nirudi zangu makapuku kwangu
Dada Shunie nimeona kupitia comment ya dee aliyokwoti ππππNakazia π€£π€£π€£
Hapo ni 13 pro/ 14 pro.. sbb naiona fupi haina urefu wa PM
Ma PM mabaya
Ule urefu na uzito
πππππ unamngβata boss wakoMshahara wa Mwalimu wote umeuweka mezaniππΏ