Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa unalala kabisa na usingzi unakuja bila kujali wengine wana hali gani huko.Aisee...[emoji7][emoji7][emoji7]
Hizi taarifa za kukosa usingizi sikuwa nazo kabisaa...
Kuna mtu atashtakiwa hapa..[emoji38][emoji38]
Ashtakiwe 😃😃Nashangaa unalala kabisa na usingzi unakuja bila kujali wengine wana hali gani huko.
Weweeee kaka weweee
We ngoja ntaitisha kikao cha familia kabisa leo, adhabu yake nishaiandaa.Ashtakiwe 😃😃
Niambie... Barafu nipo hapa,
Probably.yeye ndio ananikubali?
......[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]natubu na ninajirkebisha kuanzia sasa...hapa nilipo nimesimama natubu...Nashangaa unalala kabisa na usingzi unakuja bila kujali wengine wana hali gani huko.
Weweeee kaka weweee
Dina kama Dina
Usiseme tu kwa mshua, nisije nikanyimwa ile ishu aliyoniahidi..[emoji23][emoji23]We ngoja ntaitisha kikao cha familia kabisa leo, adhabu yake nishaiandaa.
Haha tutakuomba picha ya hapo umesimama..........[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]natubu na ninajirkebisha kuanzia sasa...hapa nilipo nimesimama natubu...
Depal hebu pita hapa..
Unitoe out nikale vile vitu napendaga ndo nitakusamehe ishu haitafika kwa mshua☺️Usiseme tu kwa mshua, nisije nikanyimwa ile ishu aliyoniahidi..[emoji23][emoji23]
Na upendo utawale daima...[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Jamani thank you, nakupenda pia rafiki[emoji182]
...[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]huwa inauma sana lakini ndiyo ishatokeaPale unapotizama list nzima na kugundua hakuna mahala umetajwa na mtu [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1567060