Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Usijali kabisaaa..[emoji39][emoji39][emoji39] najua unapenda pop corn za chocolate..Unitoe out nikale vile vitu napendaga ndo nitakusamehe ishu haitafika kwa mshua[emoji3526]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijali kabisaaa..[emoji39][emoji39][emoji39] najua unapenda pop corn za chocolate..Unitoe out nikale vile vitu napendaga ndo nitakusamehe ishu haitafika kwa mshua[emoji3526]
Lazima aahidi akirudia tumfanye nini.Atuahidi.
Hahahah wasalimie uendako. Na hiyo kiatu angalie usichome watu miguu yaoNimeshatubu sasa nasepa zangu..[emoji119][emoji119][emoji23]View attachment 1567094
Sirudiii tena Ng'ooo...Atuahidi.
Si unaijua kazi ya ice lakini [emoji13][emoji13]ice kama ice
Sasa basi ntakua nakuambia daily Luq😀Waaaoh asante!! Ntaota leo, sijaambiwa neno nakupenda kwa miaka mingi
Akirudia tunamfinya...Lazima aahidi akirudia tumfanye nini.
Japo naimani hatorudia, my bro is the man of his word👌 si eti eeh Boeing 747
Nimeshamwambia atakula popcorn za chocolate..[emoji39][emoji39][emoji39][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897]Bana hapo hapo [emoji38]
Absolutely...sirudii tena....[emoji7][emoji7][emoji7]Lazima aahidi akirudia tumfanye nini.
Japo naimani hatorudia, my bro is the man of his word[emoji108] si eti eeh Boeing 747
YesSi unaijua kazi ya ice lakini [emoji13][emoji13]
Ushalainika kisa popcorn 🙆
......utamu wa popcorn, acha kabisaa...[emoji39][emoji39][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897][emoji897]Ushalainika kisa popcorn [emoji134]
Haya tumsamehe [emoji11]
Asante kwa msamaha... makopa kopa hayooo..[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji8]Ushalainika kisa popcorn [emoji134]
Haya tumsamehe [emoji11]
We acha tu ila ananijua tukifika eneo la tukio ntachakaza wallet yake so adhabu ataifeel vizuriUshalainika kisa popcorn 🙆
Haya tumsamehe 😙
Nipo, wewe tu...[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] [emoji13][emoji13][emoji13] Nimefurahi kukuona
Mkuu usifanye masihara kukumbukwa ujue ,ukiona umekumbukwa ujue una stahili[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Hivi huyu jiran yangu Chakorii amekusahau, sitaki kuamini anavyokupenda