Mention someone without any reason just to disturb them

Na simu kali isisahaulike [emoji1787][emoji1787]
Hamna kuondoka. Hapa ni Tegeta, tuko jirani na makapuku’ununio

Hamna kitu napenda kama simu nzuriii [emoji3059][emoji3059] yaani kiufupi napenda vitu vizuri

Sirudi mimi [emoji1787]
 
Hamna kitu napenda kama simu nzuriii [emoji3059][emoji3059] yaani kiufupi napenda vitu vizuri

Sirudi mimi [emoji1787]
😂😂😂
Tubadilishane basi nikupe haka ka 13

Pesa yake matumizi
Tunapost dolla na simu inawakilisha vidola 🤣🤣🤣
 
Waje nawakaribisha,kuanzia next month nipo free.
Nilikuwa na hekaheka za msiba
Ndugu yetu niliyekuwa nakesha naye hospital alikata kamba..lile wenge.

Mambo yakawa mengi,muda mchache.
 
Tunaogopa [emoji1787][emoji1787] mimi huyu namuogopa nani jf
Ah kuna siku Lamomy aliandika kitu nikacheka sbb kilinichekesha sana. So nikamkwoti La momy. Kumbe aliziona 🤣🤣

Usiku naona vaga jipya
Hee kucheck,, kauli zinasema tunaogopa 🤣🤣 nikasema hiiiiihiii,, nile nishibe niwe nakuja jf stress free
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…