Na simu kali isisahaulike [emoji1787][emoji1787]
Hamna kuondoka. Hapa ni Tegeta, tuko jirani na makapuku’ununio
Ili aanze kusema mnaogopa [emoji23][emoji23]
Nakazia hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] me ndio nakutwaga nasemwaa weeh kama sioni kumbe naona vizuri tu unamuacha mtu na uchizi wake
😂😂😂Hamna kitu napenda kama simu nzuriii [emoji3059][emoji3059] yaani kiufupi napenda vitu vizuri
Sirudi mimi [emoji1787]
😂😂😂 Mimi namwambia tu km kawaogopa wao hawajui km kawadharauWewe unaanza kumchokoza😂😂😂
Yaani humu niziogope IDs?😂😂😂😂😂 kabisa inauma na kuchoma km pasi…!!
Sema wanahisi km umeogopa ni kweli
😂😂😂😂 Ndio ajibu mashambulizi, mnyaki gani mpole hivi??Sasa unataka akiwashe si ndio [emoji1787]
😂😂😂😂 mchuchu wao wanajua umewaogopa huwawezi wamekukomesha, na soon watakurudia tena kukusimanga..!!Yaani humu niziogope IDs?😂
Labda ya mchuchu
Unaona sasa😂😂😂😂😂 Ndio ajibu mashambulizi, mnyaki gani mpole hivi??
Ila nawasubiri warudi tena kivingine😂😂😂 Mimi namwambia tu km kawaogopa wao hawajui km kawadharau
😂😂😂😂 tulia basi wifiUnaona sasa😂
🤣🤣🤣🤣 Wewe haya😂😂😂😂 mchuchu wao wanajua umewaogopa huwawezi wamekukomesha, na soon watakurudia tena kukusimanga..!!
Nimeshangaa kweli nkamu wee wa kukaa kimya??
Wanyaki hatuna nidhamu ya uoga bana, kwanza tuna viburi grade one hakunaga tz nzima 😜
Ngoja nitulie, nisome😂😂😂😂😂😂😂 tulia basi wifi
😂😂😂😂 wakirudi tena utakuwa munkari ushaisha nkamu, wee kiwashe watag hapa uwachachue usikae na deni.Ila nawasubiri warudi tena kivingine
Safari hii sijui wanakujaje
Nipo pale😁
Nilikuwa na hekaheka za msiba😂😂😂😂 mchuchu wao wanajua umewaogopa huwawezi wamekukomesha, na soon watakurudia tena kukusimanga..!!
Nimeshangaa kweli nkamu wee wa kukaa kimya??
Wanyaki hatuna nidhamu ya uoga bana, kwanza tuna viburi grade one hakunaga tz nzima 😜
Ah kuna siku Lamomy aliandika kitu nikacheka sbb kilinichekesha sana. So nikamkwoti La momy. Kumbe aliziona 🤣🤣Tunaogopa [emoji1787][emoji1787] mimi huyu namuogopa nani jf
[emoji23] Anne jamaniKawaida yetu matajiri
Hatuna muda wa kujibu mataahira[emoji23]
Daaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tubadilishane basi nikupe haka ka 13
Pesa yake matumizi
Tunapost dolla na simu inawakilisha vidola [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
TufafanulieAh kuna siku Lamomy aliandika kitu nikacheka sbb kilinichekesha sana. So nikamkwoti La momy. Kumbe aliziona 🤣🤣
Usiku naona vaga jipya
Hee kucheck,, kauli zinasema tunaogopa 🤣🤣 nikasema hiiiiihiii,, nile nishibe niwe nakuja jf stress free