Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Na simu kali isisahaulike [emoji1787][emoji1787]
Hamna kuondoka. Hapa ni Tegeta, tuko jirani na makapuku’ununio

Hamna kitu napenda kama simu nzuriii [emoji3059][emoji3059] yaani kiufupi napenda vitu vizuri

Sirudi mimi [emoji1787]
 
Hamna kitu napenda kama simu nzuriii [emoji3059][emoji3059] yaani kiufupi napenda vitu vizuri

Sirudi mimi [emoji1787]
😂😂😂
Tubadilishane basi nikupe haka ka 13

Pesa yake matumizi
Tunapost dolla na simu inawakilisha vidola 🤣🤣🤣
 
Waje nawakaribisha,kuanzia next month nipo free.
😂😂😂😂 mchuchu wao wanajua umewaogopa huwawezi wamekukomesha, na soon watakurudia tena kukusimanga..!!
Nimeshangaa kweli nkamu wee wa kukaa kimya??
Wanyaki hatuna nidhamu ya uoga bana, kwanza tuna viburi grade one hakunaga tz nzima 😜
Nilikuwa na hekaheka za msiba
Ndugu yetu niliyekuwa nakesha naye hospital alikata kamba..lile wenge.

Mambo yakawa mengi,muda mchache.
 
Tunaogopa [emoji1787][emoji1787] mimi huyu namuogopa nani jf
Ah kuna siku Lamomy aliandika kitu nikacheka sbb kilinichekesha sana. So nikamkwoti La momy. Kumbe aliziona 🤣🤣

Usiku naona vaga jipya
Hee kucheck,, kauli zinasema tunaogopa 🤣🤣 nikasema hiiiiihiii,, nile nishibe niwe nakuja jf stress free
 
Back
Top Bottom