Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
HahahahahaSipendi usumbufu wake Mimi😁
🤣🤣🤣🤣Yaani nimeshangaa sanaHahahahaha..yaani kumbe walikua wananivizia ..hahahahaha
Hahahahaha..kwahiyo mimi shetani na wewe ndio mbuyu wangu..Hahahahaha hii nimeipenda ...shetani kapata kitiEti wanasema hawajawahi kukuona hivyo,mi nikasema Kila Shetani na mbuyu wake jamani😁
Hahahahaha...mimi pia nimeshangaa ujue ila ndio vzr🤣🤣🤣🤣Yaani nimeshangaa sana
Kiti chenyewe Cha mpingo,Shetani ajibwage tu hakivunjiki😅😅😍😍Hahahahaha..kwahiyo mimi shetani na wewe ndio mbuyu wangu..Hahahahaha hii nimeipenda ...shetani kapata kiti
Ha haaaa haaa vizuri sanaHahahahaha...mimi pia nimeshangaa ujue ila ndio vzr
Hahahahaha..safi sana nimependa hiiKiti chenyewe Cha mpingo,Shetani ajibwage tu hakivunjiki😅😅😍😍
Hahahahaha...breakfast ushapata ? Mchana natuma lunch box 📦 😋Ha haaaa haaa vizuri sana
Address ni Ile Ile😅Leo siagizi chipsi Kwa hamijeyHahahahaha...breakfast ushapata ? Mchana natuma lunch box 📦 😋
Hahahahaha..atakuja kijana kukuleteaAddress ni Ile Ile😅Leo siagizi chipsi Kwa hamijey
Mungu akuzingatie sanaHahahahaha..atakuja kijana kukuletea
🙏 🙏 🙏..amenMungu akuzingatie sana
Hahahahaha...bahati ya mwenzio usilale mlango wazi ..utaibiwaJoannah unapewa mapochopocho hadi rahaa😞
🤣🤣🤣Na unavyopenda kula haya ndio mambo unataka kuyasikia
Acha niwaache ila hapo kwenye lunch box nawaza sijui ni chips yai au ndizi mshale zilizotiwa nazi na utumbo kilo moja🥺Hahahahaha...bahati ya mwenzio usilale mlango wazi ..utaibiwa
Hahahahaha...hebu waulize instabul pale wana lunch box ipi, au uliza subway ama hata shishi food kama ana lunch boxAcha niwaache ila hapo kwenye lunch box nawaza sijui ni chips yai au ndizi mshale zilizotiwa nazi na utumbo kilo moja🥺
Ukimaanisha?Hahahahaha...hebu waulize instabul pale wana lunch box ipi, au uliza subway ama hata shishi food kama ana lunch box
Hahahahaha..moja yako moja ya JoannahUkimaanisha?