Istanbul hawana hiyo mene labda tukuangalizie shishi food au Kwa Esha buhetiπ€π€Mimi niletewe ndizi utumbo na mbogamboga, waambie utumbo wasibanie wamwage
Sawa fanyeni hivyo mtakua mmeniokoaπ€ΈIstanbul hawana hiyo mene labda tukuangalizie shishi food au Kwa Esha buhetiπ€
Istanbul wamesema wanayo, Chicken Shawarma,bbq wings, french fries,salad na soda ya kopo...30kHahahahaha...hebu waulize instabul pale wana lunch box ipi, au uliza subway ama hata shishi food kama ana lunch box
π€£π€£π€£π€£π€£Kwani njaa inakuuma sana?Sawa fanyeni hivyo mtakua mmeniokoaπ€Έ
Njaa inaniuma asubuhi sijashibaπ€£π€£π€£π€£π€£Kwani njaa inakuuma sana?
Unapenda sana utumbo?Acha niwaache ila hapo kwenye lunch box nawaza sijui ni chips yai au ndizi mshale zilizotiwa nazi na utumbo kilo mojaπ₯Ί
Kawaida tu! Ila ndizi raha yake utumboπUna
Unapenda sana utumbo?
Njooo tulee πππNjaa inaniuma asubuhi sijashiba
π€£π€£π€£π€£π€£Dah...ukute ulikula viazi vya kuchemsha na kunde iliyoungwa Nazi,na bado hujashiba!Njaa inaniuma asubuhi sijashiba
Salama Swahiba..Umeamkaje Swahiba
Wali na parachichi tuπ€£π€£π€£π€£π€£Dah...ukute ulikula viazi vya kuchemsha na kunde iliyoungwa Nazi,na bado hujashiba!
Unakula niniNjooo tulee πππ
Miss you zaidi Kipenzi....Auntie nimekumiss Siku hizi umepotea sana ππ
SawaKawaida tu! Ila ndizi raha yake utumboπ
Chipsi zegeUnakula nini
Chips nimepumzikA kitambi kimekua kikubwa sana kinafunika hadi mapajaChipsi zege
Mambo yangu ni poa kabisa sijui wewe,SwahibaSalama Swahiba..
Mambo yako?