Nadhani Uzee umechangia Mjukuu 🤗🤣🤣🤣Mnara wa babeli wajenzi mlikuwa mnaongea lugha gongana ndio maana haukusimama
Hao morning glory Yao ni show show mwanzo mwishoHivi wanasumbua sana eenh?
🤣🤣🤣🤣🤣Nadhani Uzee umechangia Mjukuu 🤗
Maana Binti wa watu akachukua filimbi kuipuliza wee lakini hata kushituka hamna
Kweli tumezeeka sasa 😜
Hahaha ................yaani pamoja na Binti kuonesha ufundi wote lakini mnala wa Babeli haukuweza kusimama 🙌🤣🤣🤣🤣🤣
Sio kwamba binti alishindwa kupuliza Kwa sauti??
🤣🤣🤣🤣🤣Ha haa haaaaa wazee wa siku hizi mmechanganyikiwa sanaNadhani Uzee umechangia Mjukuu 🤗
Maana Binti wa watu akachukua filimbi kuipuliza wee lakini hata kushituka hamna
Kweli tumezeeka sasa 😜
Kuweni na huruma na Wazee Mjukuu, hili baridi litatuua Babu zenu 😅🏃🏃🏃🤣🤣🤣🤣🤣Ha haa haaaaa wazee wa siku hizi mmechanganyikiwa sana
🤣🤣Sina Imani kabisa na babuUsimtishe Mjukuu wangu hadi akaogopa kuniletea Kiko huku Kijijini nikimwita 😜
Maana huu ni Mwaka wa pili namwita aniletee Kiko zangu huku Kijijini hataki kabisa, anasema atakuja Bibi akiwepo 🤗🙌
We makasi weweee
Wanasema ombeni nanyi mtapewa....lakini tangu nimeanza kuomba hiyo Kiko Mwaka wa pili huu hujaniletea Mjukuu 🤗😂😂😂 Duh...Babu Hadi umekumbuka maandiko
Nimefanya nn mieeWe makasi weweee
Sawa. Upite ujifunze kidogo usije ukaachikaNimekimbia uzi nawaacha wazee mjadili mambo ya kikubwa
Sasa wewe vyako hutaki tule ila vya wenzio unataka ule inawezekanaje?Wanasema ombeni nanyi mtapewa....lakini tangu nimeanza kuomba hiyo Kiko Mwaka wa pili huu hujaniletea Mjukuu 🤗
Hili baridi la Arusha litaniua Babu yenu, Fanya kuniletea walau Kiko niwe navuta vuta kupunguza baridi 😜