Soda situmii wala soft drink yoyote, natumia maji mtindi na maziwa kwa mbaliii..Huyu anaonekana ni mwimba kwaya wa church, kilevi chake utakuta ni Soda aina ya Fanta π
Huyu ukimtoa out akitumia hela nyingi labda 22,000 ya makange ya Samaki π€
SASA wewe kiko itakufaaa saanaSoda situmii wala soft drink yoyote, natumia maji mtindi na maziwa kwa mbaliii..
NaamHuyu anaonekana ni mwimba kwaya wa church, kilevi chake utakuta ni Soda aina ya Fanta π
Huyu ukimtoa out akitumia hela nyingi labda 22,000 ya makange ya Samaki π€
Safi dearDarling! Umeamkaje?
Yaani nikae nivute kiko? AkuuSASA wewe kiko itakufaaa saana
Mtakuja kufia lodge nyie wazeeπMkongo muhimu Saaana. Watoto WA 2000 bila ya hii mambo unaabika
Unachochea moto au sioππ?Babu asikilizwe saaana.
Babu asikilizwe....
Kumbe wewe bajeti yako ni msimbazi mmoja tu ukitolewa outπSoda situmii wala soft drink yoyote, natumia maji mtindi na maziwa kwa mbaliii..
Mara ya mwisho amenitoa out niliagiza chips kuku na maji madogoπKumbe wewe bajeti yako ni msimbazi mmoja tu ukitolewa outπ
Mkwe wangu sijui anakwama wapi kuleta Posa haraka π€
There you are Sir π₯Naam
Hawa ndio wakwenda nao.
Yaan budget yake
Maji Kilimanjaro kubwa 1500
Maziwa mtindi 3000
Juisi fresh ya embe 3000
Total 10000.
Cheap and affordable
Hahaha............yaani Kwa haraka haraka ulitumia elfu 8 tu π πMara ya mwisho amenitoa out niliagiza chips kuku na maji madogoπ
Tulienda kula sehemu ambayo bei imenyooka, sikutaka kuangalia bei ya kuku wala hela ilivyolipwa sikuangalia πHahaha............yaani Kwa haraka haraka ulitumia elfu 8 tu π π
Ukiongeza gharama ya Uber/bolt labda ndiyo itafika 15k π
Hahaha........labda Kuku wa KFC ndiyo kidogo bei imenyooka na ndiyo wanaongoza kwa utamu πTulienda kula sehemu ambayo bei imenyooka, sikutaka kuangalia bei ya kuku wala hela ilivyolipwa sikuangalia π
Kuku wa kfc mimi mbona nimewashindwa babuHahaha........labda Kuku wa KFC ndiyo kidogo bei imenyooka na ndiyo wanaongoza kwa utamu π
Huenda hujawapenda tu, ila ni watamu sana ukishushia na Coca/Pepsi baridi π€Kuku wa kfc mimi mbona nimewashindwa babu
Kila mtu anawasifia lakini mimi nikila naona wabaya au ushamba wanguπ sababu hata pizza au baga zimenishinda