Mpe abcd kabisa🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
Muwe makini msitengeneze bomu
Good morning,
🤣🤣🤣🤣🤣Good morning,
Uzuri wa twilight glory unapata muda mrefu wa kupumzisha mwili baada ya kuuchosha tofauti na morning glory.unaenda kazini miguu Haina nguvu😁
Sasa kauchovu na kazi tena??Huwa Nampa tu Ili kumpunguzia matamanio huko njiani japo haigurantii🤣🤣🤣🤣🤣
Hapana bwana....
Raha Ile upo job unahisi fresh yaan unasikia damu inatembea vizuri kabisaa.
Yaan kauchovuuu flan amaizin
🤣🤣Sasa kauchovu na kazi tena??Huwa Nampa tu Ili kumpunguzia matamanio huko njiani japo haigurantii
HahahahahaNdio mida hii Sasa,nashauri tuiite "twilight glory" 😁ila hii ni ya matajiri zaidi ambao hata wakilala ndani account inaendelea kusoma
Unampaga nani na nini ? Ili atoe uchovu ?Sasa kauchovu na kazi tena??Huwa Nampa tu Ili kumpunguzia matamanio huko njiani japo haigurantii
Duh🤣🤣
Matamanio haya ishi, yaani unaweza ukawa umetoka kuikeshea ukitoka tuu ukaona type ingine Kazi inaanza upyaaa
Labda uwe umerogwa
Hiyo ndio kitu mnanimalizaga maarifa nyie wanababa😁!🤣🤣
Matamanio haya ishi, yaani unaweza ukawa umetoka kuikeshea ukitoka tuu ukaona type ingine Kazi inaanza upyaaa
Labda uwe umerogwa
🤣🤣🤣 Subiri kwanzaUnampaga nani na nini ? Ili atoe uchovu ?