Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha,kwamba nimekuteka au ? Mie sio hamas jamaniWameshakugundua mtekaji π
Hahahahahaπ€£π€£π€£π€£ Nimefurahi sana kuupokea Moyo wangu baada ya mateso ya miaka mitatu namfukuzia,kweli Mungu ni wa wote
Panapofuka Moshi hapazibikiπHahahahaha,kwamba nimekuteka au ? Mie sio hamas jamani
Oyooooooo..!! π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€£π€£π€£π€£ Nimefurahi sana kuupokea Moyo wangu baada ya mateso ya miaka mitatu namfukuzia,kweli Mungu ni wa wote
Hahahahaha..Rafiki bhana, kwamba kwenye moshi kuna moto ?Panapofuka Moshi hapazibikiπ
Eeeeh kabisa,ni suala la muda tu moto utalipukaπHahahahaha..Rafiki bhana, kwamba kwenye moshi kuna moto ?
Oyooooooo..!! Shemeji mimi ndo last born wa familia univumilie.!! Ukipenda ua, penda na boga lakeπMmmmh...
Na ulipuke watu oyooooooo.!! π€ΈββοΈπ₯°Eeeeh kabisa,ni suala la muda tu moto utalipukaπ
Hahahahaha....aiseeSijaachika dada πππ€£
Mimi na yule jamaa kuachana ni mpk JF ibinafsishwe labda.!! Nalipenda chalii langu hakuna mfano, sema linabowa sometimes.
Shhhhhhh π€«π€«π€«π€«π€«Acha kelele basi wanga wengi,hawachelewi na wao kujifanya wamemuelewa,mwenzako nimepambana 3yrs,we huogopi?Oyooooooo..!! π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Nyie dada kapata shemeji MNIWAAACHWEEEEE
NNA RAHA MIYEEE π₯°π₯°π₯°π₯°
Dada kamatia hapo hapo usiachieeee
Hahahahaha...sasa moto ukilipuka utawaanguza wengineEeeeh kabisa,ni suala la muda tu moto utalipukaπ
Hahahahaha...dahShhhhhhh π€«π€«π€«π€«π€«Acha kelele basi wanga wengi,hawachelewi na wao kujifanya wamemuelewa,mwenzako nimepambana 3yrs,we huogopi?
Nimeacha π€Shhhhhhh π€«π€«π€«π€«π€«Acha kelele basi wanga wengi,hawachelewi na wao kujifanya wamemuelewa,mwenzako nimepambana 3yrs,we huogopi?
HahahahahaOyooooooo..!! Shemeji mimi ndo last born wa familia univumilie.!! Ukipenda ua, penda na boga lakeπ
Au nadanganya?mapambano was real ,hebu watulie kwanzaHahahahaha...dah
Ewaaaaaaaa kama kawaida,, wazaramo Tena?kutamba asili yetuNimeacha π€
Shem tunaye na tunatamba naye ππ
Shemeji unaye, halafu last born sasa πππHahahahaha
Sema hapa anaweza potea Kwa three days mpaka five,hapendagi ujinga mtasha wangu....π’π’π’Shemeji unaye, halafu last born sasa πππ