Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha,kwamba nimekuteka au ? Mie sio hamas jamaniWameshakugundua mtekaji 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha,kwamba nimekuteka au ? Mie sio hamas jamaniWameshakugundua mtekaji 😁
Hahahahaha🤣🤣🤣🤣 Nimefurahi sana kuupokea Moyo wangu baada ya mateso ya miaka mitatu namfukuzia,kweli Mungu ni wa wote
Panapofuka Moshi hapazibiki😁Hahahahaha,kwamba nimekuteka au ? Mie sio hamas jamani
Oyooooooo..!! 🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤣🤣🤣🤣 Nimefurahi sana kuupokea Moyo wangu baada ya mateso ya miaka mitatu namfukuzia,kweli Mungu ni wa wote
Hahahahaha..Rafiki bhana, kwamba kwenye moshi kuna moto ?Panapofuka Moshi hapazibiki😁
Eeeeh kabisa,ni suala la muda tu moto utalipuka😅Hahahahaha..Rafiki bhana, kwamba kwenye moshi kuna moto ?
Oyooooooo..!! Shemeji mimi ndo last born wa familia univumilie.!! Ukipenda ua, penda na boga lake😜Mmmmh...
Na ulipuke watu oyooooooo.!! 🤸♀️🥰Eeeeh kabisa,ni suala la muda tu moto utalipuka😅
Hahahahaha....aiseeSijaachika dada 😂😂🤣
Mimi na yule jamaa kuachana ni mpk JF ibinafsishwe labda.!! Nalipenda chalii langu hakuna mfano, sema linabowa sometimes.
Shhhhhhh 🤫🤫🤫🤫🤫Acha kelele basi wanga wengi,hawachelewi na wao kujifanya wamemuelewa,mwenzako nimepambana 3yrs,we huogopi?Oyooooooo..!! 🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Nyie dada kapata shemeji MNIWAAACHWEEEEE
NNA RAHA MIYEEE 🥰🥰🥰🥰
Dada kamatia hapo hapo usiachieeee
Hahahahaha...sasa moto ukilipuka utawaanguza wengineEeeeh kabisa,ni suala la muda tu moto utalipuka😅
Hahahahaha...dahShhhhhhh 🤫🤫🤫🤫🤫Acha kelele basi wanga wengi,hawachelewi na wao kujifanya wamemuelewa,mwenzako nimepambana 3yrs,we huogopi?
Nimeacha 🤐Shhhhhhh 🤫🤫🤫🤫🤫Acha kelele basi wanga wengi,hawachelewi na wao kujifanya wamemuelewa,mwenzako nimepambana 3yrs,we huogopi?
HahahahahaOyooooooo..!! Shemeji mimi ndo last born wa familia univumilie.!! Ukipenda ua, penda na boga lake😜
Au nadanganya?mapambano was real ,hebu watulie kwanzaHahahahaha...dah
Ewaaaaaaaa kama kawaida,, wazaramo Tena?kutamba asili yetuNimeacha 🤐
Shem tunaye na tunatamba naye 😍😍
Shemeji unaye, halafu last born sasa 😂😂😂Hahahahaha
Sema hapa anaweza potea Kwa three days mpaka five,hapendagi ujinga mtasha wangu....😢😢😢Shemeji unaye, halafu last born sasa 😂😂😂