๐ ๐ ๐ vidole vimejifanya,, ila moyo ulimtajaNdo maana kwenye kumtaja crush nimejifanya sijamwona๐คจ
Deleted comment ๐คชUnataka unifanye nn tena๐ณ
Nimeona nifute aisee,na ukiwaki wangu but namwogopa kama ndo kanioa๐.....afu sijui nina nn Mimi *****๐Deleted comment ๐คช
Nimeona.. kabla sijajibu simu ikaita ๐ ๐ nimemaliza kuongea narudi hapa haipo tena..Nimeona nifute aisee,na ukiwaki wangu but namwogopa kama ndo kanioa๐.....afu sijui nina nn Mimi *****๐
Fanya faster faster...Ngoja nikaangalie..
Hujamuona nani? Crush wako au? Nenda kamtaje acha uwoga...Ndo maana kwenye kumtaja crush nimejifanya sijamwona๐คจ
Mtaje bhana...Nimeona nifute aisee,na ukiwaki wangu but namwogopa kama ndo kanioa๐.....afu sijui nina nn Mimi *****๐
Hahaha Cha utundu una mambo mengi sana...Waaaaaaa
Nitakujibu Pm ๐๐๐
๐๐ muongozo gani tena?
Nimefanyaje jamani ๐คฃ๐๐Hahaha Cha utundu una mambo mengi sana...
Tulia..Mtasababishiana nini tena??
Wako real,wanaonekana watulivu Wana mengi ya hatariโน๏ธ
Yupo, yuko Dom kikazi. Hata humu yupo, ila sasa kaja kivingine ๐๐. Ningetoa hint, ila policies za jf zinazuia.BAK where are you
Tell him to call me please.Yupo, yuko Dom kikazi. Hata humu yupo, ila sasa kaja kivingine ๐๐. Ningetoa hint, ila policies za jf zinazuia.