Ee bhana!!! Kweli aisee🤔 sijui unatumiaga nn.....afu huna maneno mengi afu unatukulajee.😉I always call you a SILENT KILLER 🤸🤸🙌😀😀Usiwaze 😉😉 ila kaa ukijua nikikutaka huchomoki wala hutokua na uwezo wa kunikataa...
Hahaha akili yako haina akili... Naomba uwe unanipigisha kisomo cha elimu ya watu wazima mida ya jioni...Ee bhana!!! Kweli aisee🤔 sijui unatumiaga nn.....afu huna maneno mengi afu unatukulajee.😉I always call you a SILENT KILLER 🤸🤸🙌
Ila kumbuka nakupenda ivoivo 😉Hahaha akili yako haina akili... Naomba uwe unanipigisha kisomo cha elimu ya watu wazima mida ya jioni...
Makopa kopa unayapleka wapi na baiskeli...❤️❤️❤️🚴🚴🚴
Hiii mara hii unanipenda hivyo hivyo...Ila kumbuka nakupenda ivoivo 😉
To you....nikuwahishie na kibaridi hiki😜Makopa kopa unayapleka wapi na baiskeli...
Karibu mpaka ndani, ingia na baiskeli yako...To you....nikuwahishie na kibaridi hiki😜
Naiga kwako,kubadilikabadilika mpaka tutakapoamua kustay real Kwa wapenz wetu🤣Hiii mara hii unanipenda hivyo hivyo...
😋🤝Karibu mpaka ndani, ingia na baiskeli yako...
Una wapenzi wangapi? Au ni yule yule aliyekubananisha siku ile...Naiga kwako,kubadilikabadilika mpaka tutakapoamua kustay real Kwa wapenz wetu🤣
Ukifika ndani vua kila kitu kasoro akili...
Akili yangu huitaki😥 inafaida kidogo S,usiipuuze tafadhaliUkifika ndani vua kila kitu kasoro akili...
Akili yako naitaka ndiyo maana sitaki uivue... maana ukiivua hutaondoka...Akili yangu huitaki😥 inafaida kidogo S,usiipuuze tafadhali
Hivi unajua nakuvuta tu hapa ukijaa huchomoki sichomoki......mi nikimpenda mtu mapungufu yake siyaoni naonaga mazuri yote so usidhani ukijichomeka hapa utasepa☺️...onhoo.....I warn you mapema tu😔Akili yako naitaka ndiyo maana sitaki uivue... maana ukiivua hutaondoka...
Hahaha nacheka kwa dharau... 😀 😀Hivi unajua nakuvuta tu hapa ukijaa huchomoki sichomoki......mi nikimpenda mtu mapungufu yake siyaoni naonaga mazuri yote so usidhani ukijichomeka hapa utasepa☺️...onhoo.....I warn you mapema tu😔
😳embu twende taratibu,please taratiiibu.Tusiandikie mate.........easy,easyyyy😋Hahaha nacheka kwa dharau... 😀 😀
Hua sijai kwenye kimi na nane... ila wewe naweza kukuweka kwenye kumi na nane muda wowote ni nikikweka kwenye rada zangu, huchomoki wala huchomoi... hahahaha endelea kujiamini...
Wapenzi wako wote utawapiga chini...
Unaanza kuogopa sasa... hahaha😳embu twende taratibu,please taratiiibu.Tusiandikie mate.........easy,easyyyy😋
🙌Unaanza kuogopa sasa... hahaha
Tulia hivyo hivyo nikuonyoshe... hahaha