Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona ulivyo laini, mtoto mzuri... Tuwe tunaangalia wote, ili ukiogopa unanidandia...Ni hatari sana.. kuna kipande nilishindwa kuangalia nikafoward.
😃😃sio laini bana, tatizo giza nalo limenitisha…Ona ulivyo laini, mtoto mzuri... Tuwe tunaangalia wote, ili ukiogopa unanidandia...
Ndiyo ulaini wenyewe huo... mtoto mzuri unaogopaje giza, kama siyo kutafuta kunaniliwa...😃😃sio laini bana, tatizo giza nalo limenitisha…
Angalau nimetajwa na mrembo..asante sn,na karibuSatoh Hirosh ukuje bas
Ha ha haa,ila we jamaa wewe.Angalau nimetajwa na mrembo..asante sn,na karibu
Ila wale jamaa walioweka avatar iliyofanana wamelike comment yako, sijapenda 😀😀
Kigogo team....BAK where are you
Nini tatizo mrembo😀Ha ha haa,ila we jamaa wewe.
Usideal na ya jiraniNini tatizo mrembo😀