Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Hapa hapa members wata copy na ku paste Jirani ..Pm sifungui jirani, kama una lolote la kuniambia we niambie tu hapa hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa hapa members wata copy na ku paste Jirani ..Pm sifungui jirani, kama una lolote la kuniambia we niambie tu hapa hapa
Ukinichinja nani atakufungulia pm jiraniJirani njoo ufie Kwa muuza supu...
Nitakuchinja huku nakuimbia...
Ndogo sana weka timer Jirani...Nusu saa nyingi ujue
Kwani vinahusu nini hivyo unavyotaka ukaviseme pmHapa hapa members wata copy na ku paste Jirani ..
Ewaa kumbe unajua sasa... Fungua pm kabla sijakuchinja...Ukinichinja nani atakufungulia pm jirani
Kwangu nyingi sana hizo, bora ingekua dakika mbiliNdogo sana weka timer Jirani...
Nitakuambia pm siyo hapa Jirani...Kwani vinahusu nini hivyo unavyotaka ukaviseme pm
Sifungui saiviEwaa kumbe unajua sasa... Fungua pm kabla sijakuchinja...
Kesi gani tena mama Chanja.Weeee unataka uniletee kesi eeh
Dakika mbili nitakua bado sijamaliza Jirani...Kwangu nyingi sana hizo, bora ingekua dakika mbili
Sasa itabidi usubiri jiraniNitakuambia pm siyo hapa Jirani...
Hakika kweli wanaume tumeumbwa kuvuja jasho...Sifungui saivi
Nataka uhangaike kwanza, siwezi kukufungulia pm kirahisi rahisi hivi usije kuringa
Ngoja ngoja yaumiza matumbo Jirani...Sasa itabidi usubiri jirani
UnanisingiziaKesi gani tena mama Chanja.
Haraka haraka haina baraka jiraniNgoja ngoja yaumiza matumbo Jirani...
Jirani naomba jamvi mapema kabla mwingine ajaomba na kupewa, nikabaki ningejua....Haraka haraka haina baraka jirani
Subira yavuta heri
Jamvi sina jirani, kwangu kuna sofa tu. Labda nikakununulie sokoniJirani naomba jamvi mapema kabla mwingine ajaomba na kupewa, nikabaki ningejua....
Nakushauri uvute kiti ukae wakati unasubiri, usije choka miguu bure ukaanguka jirani yanguHakika kweli wanaume tumeumbwa kuvuja jasho...
Sitachoka kugonga hodi mpaka ufungue mlango...