Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Jiandae kuweka dkUsinisumbue leo weekend niko busy🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiandae kuweka dkUsinisumbue leo weekend niko busy🤣🤣
Kheee..!!! Unataka kunifanyia ukahaba au? Maana si kwa vicheko hivyo..!!Ngalikihinja wewe nyoka nakwambia, huu mwezi ukiisha usinitafute 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂bas ndo maana kwangu alipata kwa kutupia matapishi...na alininyoosha kweli😂😂😂😂🙌Yule me nilimbonda
Kisawa sawa
Ako na story 😋🤣🤣
Sitaki usumbufuJiandae kuweka dk
Ze Advocate P.Nzee ya kwa maslahi ya taifa .Bila shaka sasa ameukana uchawa wa wanakijani rasmi,simuoni simsikii tena,🤔
Kumbonda huwezi, kamroge kwa mganga toka Moshi..!! 😂 😂 😂 😂Mtaje tumbonde
Nataka kukudangia huoni January hii bichwa lakoKheee..!!! Unataka kunifanyia ukahaba au? Maana si kwa vicheko hivyo..!!
🤣🤣🤣 pole😂😂😂bas ndo maana kwangu alipata kwa kutupia matapishi...na alininyoosha kweli😂😂😂😂🙌
Bichwa lipi? Afu unadhani Hii Njaanuari ni kwako tu, kwamba mimi nipo March? We subiria utanidangia February mwanzoni hapoNataka kukudangia huoni January hii bichwa lako
Waganga wa Moshi wakishiba makande hawawezi kazi 🤣😂Kumbonda huwezi, kamroge kwa mganga toka Moshi..!! 😂 😂 😂 😂
🤣🤣🤣🤣Bichwa lipi? Afu unadhani Hii Njaanuari ni kwako tu, kwamba mimi nipo March? We subiria utanidangia February mwanzoni hapo
Hao itakuwa wanafanyia uganga Moshi, lakini ni wapareWaganga wa Moshi wakishiba makande hawawezi kazi 🤣😂
Pia bila kuwasahau chawa wote waliozinduliwa pale kareemjee🏃
Nishapoa cute,si unajua tena nina wachumba kede ila mume sina.😆🤣🤣🤣 pole
Au ishapoa?
We To yeye menihesabia?Nishapoa cute,si unajua tena nina wachumba kede ila mume sina.😆
Ndoa ni scamNishapoa cute,si unajua tena nina wachumba kede ila mume sina.😆
Hao wote chawa wa vijani,kama upo aliyeongozwa kundi sio lake afanye kama anajikuna tumwone tasafali🏃
Sure cute❤😘Ndoa ni scam
MMU huko wanasema
We tulia na wachumba zako mwaya
Shule zimeshafunguliwa. Nilitaka kuwapitia watoto niende nao beach basi. Wee utadangika tu, kwahiyo nisubirie hadi Feb 😔😔😔😔😔Bichwa lipi? Afu unadhani Hii Njaanuari ni kwako tu, kwamba mimi nipo March? We subiria utanidangia February mwanzoni hapo