Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Oya mbona unamtaja lamomy vipi tena, na unaona kabisa nimeshawahi?
Huyo atakuwa ananipigia nyetoo sana sio bure [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya mbona unamtaja lamomy vipi tena, na unaona kabisa nimeshawahi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzi utafungwa huu, tuyaache bhana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo ni UONGO [emoji23]
Sema wewe ulikuwa unapapenda daslam, ko MU ilikuwa IDM enzi hizo haikuwa na competition? Ilikuwa mwaka gani [emoji1787]
Sio dhambii, kadi ya kamati unayooo? [emoji23][emoji23][emoji23]Uzi utafungwaje si tunajadili harusi jamani?
Au dhambi [emoji23]
Astaghfirullah, midume kwa midume? Dunia imeishaSasa niwe na huzuni na wenzio wanapumuliana km kawaa? Huo muda nautoa wapiii?
Kila mtu anatumia mwili wake atakavyo, na huwezi mpangia. Makasiriko sio shida zangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata majike kwa majike.Astaghfirullah, midume kwa midume? Dunia imeisha
2007 alafu miaka hiyo kama hujaenda UD wewe bado hujaenda chuo kikuu.Hiyo ni UONGO [emoji23]
Sema wewe ulikuwa unapapenda daslam, ko MU ilikuwa IDM enzi hizo haikuwa na competition? Ilikuwa mwaka gani [emoji1787]
kwako mke, kwa mwingine ni mchepuko[emoji28]
Sasa niwe na huzuni na wenzio wanapumuliana km kawaa? Huo muda nautoa wapiii?
Kila mtu anatumia mwili wake atakavyo, na huwezi mpangia. Makasiriko sio shida zangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye crew yake kuna.michicha kibao, kwa nn asijiweke huko? Anazingua huyu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwepoo. Mlale unono.Mazito [emoji205]
Had naogopa
Astaghfirullah, midume kwa midume? Dunia imeisha
kama shingapi hivi😅Wewe huyo? Me mchepuko wako!!
Hivi mshamba unanipenda sana, had unashindwa kujizuia?! [emoji1787][emoji1787]
Mana huishi kunifatilia!! Haya lete mahari unioe kabisa
2007 alafu miaka hiyo kama hujaenda UD wewe bado hujaenda chuo kikuu.
Hiyo MU ilikua na kozi chache sana
Hata sahivi, km Hujaenda UD, bado hujaenda chuo kikuu, labda wa Afya wao na MUHAS yao.2007 alafu miaka hiyo kama hujaenda UD wewe bado hujaenda chuo kikuu.
Hiyo MU ilikua na kozi chache sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwepoo. Mlale unono.
Oyaa wewe umezungukwa na michicha kama yote, kwa nn usipeleke huko mahari?kama shingapi hivi[emoji28]
kama shingapi hivi[emoji28]
Bora umesaidia hapa, hiyo ni sasa hivi sasa piga hesabu miaka hiyoHata sahivi, km Hujaenda UD, bado hujaenda chuo kikuu, labda wa Afya wao na MUHAS yao.
Ila kwingine, UD ihusike. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23] kitandaniNichagulie pa kuchekea
Yaishe nisije kuongea nisivyotaka kuongea [emoji23]