Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Hayupo, ana ban alafu yupo mbali sanaLini nimejiita kungwi kaka? [emoji23][emoji23]
Niitie mkeo anifunde, nasikia Anaya wenza kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayupo, ana ban alafu yupo mbali sanaLini nimejiita kungwi kaka? [emoji23][emoji23]
Niitie mkeo anifunde, nasikia Anaya wenza kweli
Leo niliingia tena jikoni asee[emoji23][emoji23]
sio kweliunajua nilishangaa imekuwaje hawa wana hizi tabia, dooh kumbe ndio basi tena
Huyu nae itakua kabakiza kipande kidogo sana kuaga rasmi mashindano
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] James Delicious kashaishiwa, hana mpyaa mjini.
Ila Aggrey ananiuzi lile tumbo, si akakate utumbo km wema, khaaaah.
Le sijapiga picha na nilishakulaLete mapishi nione [emoji23]
Nakusahaulisha alafu nakuweka kati utajaa tuu
Sema mbishi yule, Ila nitajua tu namna ya kumfatilia kwa karibu akiwa huko
Hayupo, ana ban alafu yupo mbali sana
Le sijapiga picha na nilishakula
Sio kweli nn?sio kweli
Mbinu pia zinabadilika[emoji23]Sio sasa, mambo yamebadirika [emoji23]
YesUtamfunga GPRS [emoji23][emoji23]
Kulewa niliacha aseePole ndiomana unalewa hovyo km Sele [emoji23]
Wala nimetengeneza kitu ya ukweli tuMuongo [emoji23]
Au viliungua??
Mbinu pia zinabadilika[emoji23]
Kulewa niliacha asee
Wala nimetengeneza kitu ya ukweli tu
[emoji23][emoji23] ngoja nijiandaeHata uje na mbinu gani huniingizi king kiboya boya ss hivi [emoji23][emoji23]
Kuna mtu ndio amesaidia sana kuacha hizi mamboHongera [emoji23]