Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Happy New Year my pipo
Nimewamiss mno
Mahondaw cocastic Missy Gf Joannah Tayana-wog binti kiziwi Zulu man Ms eyes Dr Lizzy mshamba_hachekwi raraa reree Omulasil Mpaji Mungu Half american Unique Flower Tlaatlaah Rabbitus Saint Anne Dejane Shunie Mjep Mshana Jr Glenn Leejay49 na wengine niliowasahau wote All members
Haya kabla ya yote wale wa uzi wa mafoto vipi?!! Mbona naingia nakuta uzi umefungiwa tena?!!! Kwan kilitokea nini wapendwa?
Hebu nipeni samarre kwanza 🥺
Mi nishakuja na li album langu la mifoto ya holiday na baby wangu nakuta mauzauza..!!
Nini kimetokea??
Asante babe.

Happy new year.

Watu watakupa samare tulia tu andaa ubuyu😂😂🤣
 
Happy New Year my pipo
Nimewamiss mno
Mahondaw cocastic Missy Gf Joannah Tayana-wog binti kiziwi Zulu man Ms eyes Dr Lizzy mshamba_hachekwi raraa reree Omulasil Mpaji Mungu Half american Unique Flower Tlaatlaah Rabbitus Saint Anne Dejane Shunie Mjep Mshana Jr Glenn Leejay49 na wengine niliowasahau wote All members
Haya kabla ya yote wale wa uzi wa mafoto vipi?!! Mbona naingia nakuta uzi umefungiwa tena?!!! Kwan kilitokea nini wapendwa?
Hebu nipeni samarre kwanza 🥺
Mi nishakuja na li album langu la mifoto ya holiday na baby wangu nakuta mauzauza..!!
Nini kimetokea??
Uzi ulifungwa as usual Sababu kuu Hakuna mwingine ni the One and only Le Great kiiiiiiinggg!

Lol hii tag ndio naiona leo jf midamida notifications zinazingua kinoumaa

cc Smart911
 
Miongozo 🤣🤣🤣
Huyo mwanaume atawafanya mtoane roho
Hapana chezeiyaa

Namwambiaga mganga wake asimuache 🤠🤠🤠😁
ye anatabasamu tu

cc Smart911
 

Attachments

  • Screenshot_20240110-130142~5.jpg
    Screenshot_20240110-130142~5.jpg
    94.2 KB · Views: 5
Back
Top Bottom