Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante babe.Happy New Year my pipo
Nimewamiss mno
Mahondaw cocastic Missy Gf Joannah Tayana-wog binti kiziwi Zulu man Ms eyes Dr Lizzy mshamba_hachekwi raraa reree Omulasil Mpaji Mungu Half american Unique Flower Tlaatlaah Rabbitus Saint Anne Dejane Shunie Mjep Mshana Jr Glenn Leejay49 na wengine niliowasahau wote All members
Haya kabla ya yote wale wa uzi wa mafoto vipi?!! Mbona naingia nakuta uzi umefungiwa tena?!!! Kwan kilitokea nini wapendwa?
Hebu nipeni samarre kwanza 🥺
Mi nishakuja na li album langu la mifoto ya holiday na baby wangu nakuta mauzauza..!!
Nini kimetokea??
[emoji7]Ahsante sisy shunie [emoji7][emoji7][emoji7]
Me zaidi shangazi yangu [emoji7]Shunie wangu! nakupenda [emoji8][emoji8]
Nilirudi sa tatuNafungua darling usijali, ila malizana na Mwakasege ntakucheck mida mida ili tuongee kwa utulivu 😜
❤️❤️Me zaidi shangazi yangu [emoji7]
Niko poa wifi yangu, haya nipe yaliyotokea mana kitambo 🤣🤣🤣Uwiii
Bora umerudi. Tulikumiss😍
Unaendeleaje?
Bado sijapewa samaree my shouga ebu mwaga maudambu dambu bila kuruka hata kituo kimoja, niko hapa!! 😍😍😍Nilirudi sa tatu
Namshukuru Mungu!
Hivi ushapata samareee ya why Uzi ulifungwa🤣
Hivi na we ulikuwa unashindwa ht kuchungulia tu Kwa id nyingine uone yanayojiri?
Looo
Saint Anne Joannah msaidie lamom🤣🤣
Niko hapa nimejaa 😂😂😂Asante babe.
Happy new year.
Watu watakupa samare tulia tu andaa ubuyu😂😂🤣
Halafu wewe🤣🤣Nafungua pm njoo shouga 😋😋 unipe maubuyu
Ako na pesa ngapi ninao ubuyu kipimo Cha kusukwa sukwa hadi kumwagikaNilirudi sa tatu
Namshukuru Mungu!
Hivi ushapata samareee ya why Uzi ulifungwa🤣
Hivi na we ulikuwa unashindwa ht kuchungulia tu Kwa id nyingine uone yanayojiri?
Looo
Saint Anne Joannah msaidie lamom🤣🤣
Jitag mwenyeweNo body is mentioning me does that mean nobody knows me
Or I'm on the last edge [emoji23][emoji23]
Kuna ka girl nataka kuka mention Ila naogopa
Somebody help me[emoji4]
Thank you babe safari njema and take care of yourself!
Uzi ulifungwa as usual Sababu kuu Hakuna mwingine ni the One and only Le Great kiiiiiiinggg!Happy New Year my pipo
Nimewamiss mno
Mahondaw cocastic Missy Gf Joannah Tayana-wog binti kiziwi Zulu man Ms eyes Dr Lizzy mshamba_hachekwi raraa reree Omulasil Mpaji Mungu Half american Unique Flower Tlaatlaah Rabbitus Saint Anne Dejane Shunie Mjep Mshana Jr Glenn Leejay49 na wengine niliowasahau wote All members
Haya kabla ya yote wale wa uzi wa mafoto vipi?!! Mbona naingia nakuta uzi umefungiwa tena?!!! Kwan kilitokea nini wapendwa?
Hebu nipeni samarre kwanza 🥺
Mi nishakuja na li album langu la mifoto ya holiday na baby wangu nakuta mauzauza..!!
Nini kimetokea??