Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Hiyo hapo Mayday namsaidia kukuwekea na mi naisikiliza kibarazani hapa πππππ€£π€£ wakati unanifuta niwekee na ka wimbo kokote ka Fally Ipupa nimalize nako kilio cha kwikwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo hapo Mayday namsaidia kukuwekea na mi naisikiliza kibarazani hapa πππππ€£π€£ wakati unanifuta niwekee na ka wimbo kokote ka Fally Ipupa nimalize nako kilio cha kwikwi
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo itakuwa uongo sis wala sikuahidi
[emoji1787][emoji1787] wakati unanifuta niwekee na ka wimbo kokote ka Fally Ipupa nimalize nako kilio cha kwikwi
Hiyo hapo Mayday namsaidia kukuwekea na mi naisikiliza kibarazani hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πππ[emoji1787][emoji1787] nakuelewa huweziiii
Ww na antonnia ndio sababu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Na mi nashangaa nimekuta notification ya ban, hata wasingejisumbua mods mana nilishaamua kuachana nao kitambo
Sema utapoa km mkojo wa ngedere, ule uzi ulitakiwa uchangamshwe uwe heya heya, hiya hiya full mparara [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mabakuli kakufanyaje tena maana naskia ndio post ikapigwa ban[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wacha watupe ban wabaki wenye uzi wao kina binti masozy.
Sie wengine wapambe nuksi tukae kando[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ππππ Akhu na udugu wangu tulishamalizana yakaisha, huyo ni love na maba tatu mzukaWw na antonnia ndio sababu[emoji23]
Yani wewe pilika huachi nishakuambukiza πππMabakuli kakufanyaje tena maana naskia ndio post ikapigwa ban
π₯°πππππππππππ
Zimeisha sasa ushachelewa, si unajua wabongo nyimbo moja biscuit 4 mpk ufikishe kusikiliza nyimbo 3 na habari imekwishaaaa..!!ππππNgoja nisogelee cookies wakati namalizia kulia na kwikwi π€£
Ila hujui tu namna nimecheka Shunie
Na ile kauli yako ππππ
Zimeisha sasa ushachelewa, si unajua wabongo nyimbo moja biscuit 4 mpk ufikishe kusikiliza nyimbo 3 na habari imekwishaaaa..!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asus πππ tajiri LamomyHiyo hapo Mayday namsaidia kukuwekea na mi naisikiliza kibarazani hapa ππππ
Niko poa mdogo angu, shida gani hiyo tena??da mkubwa uko poa? nashida na wew
Aaaa wapi PC milioni 2 hiyooo π tajiri dada yangu Lamomy hapo bado na ile range Rover yako ya blue ninayo pishana nayo kule posta πππMpana ww kumbe ulikuwa una zoom jina la laptop yangu ππππ
Utajiri nautoa wapi Chale njaa tupu sister ako hapa π€£π€£π€£
πππ Umeanza na ww kunipamba sasa, hapo kwenye range sasa!! Mwenzio nadandia mwendokasi mpk wamenizoeaAaaa wapi PC milioni 2 hiyooo π tajiri dada yangu Lamomy hapo bado na ile range Rover yako ya blue ninayo pishana nayo kule posta πππ
Tajiri Lamomyπππ Umeanza na ww kunipamba sasa, hapo kwenye range sasa!! Mwenzio nadandia mwendokasi mpk wamenizoea
Hiyo Asus X515 ya kawaida mbona wala usiogope
Ila weweπ€£π€£π€£. Mimi nilikuwa sijui chochoteWifi VAR yangu imekukamata ππππ
Ila mecheka aiseee!! Hivi wamekupiga ban na ww??