Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
πππ huna akiliHakuna kutoka
Mimi sijaona gram 20
Irudiwe
Vinginevyo tutalianzisha na boss wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ huna akiliHakuna kutoka
Mimi sijaona gram 20
Irudiwe
Vinginevyo tutalianzisha na boss wetu
Na hela
Tajiri kama wewe na udugu
Hii jf mabossledi mpo watatu tu[emoji91]
Wanakiwasha balaaππ tunapigwa ndoigeKina mandonga πππ
Nkamu vayolensi hizi sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee hakuna cha simu ww ni mzuriiiiiiii mpk mzuriiiiiiii tena!!Hapana mdogo wangu simu hizo [emoji1787]
πππ wa petrol kabisaAnne ana moto wake
Watu wabaya
Mnafuta juu kwa juu
Wacha nipunguze maumivu na Cefalexin,sijui nitaweza π
Mimi pia ni Mwalimuπππππ unamngβata boss wako
Mfyuuuu ππππWatu wa Itel tunasema haiwezekani
Tutajibu tu mapigo,ngoja boss wetu atimbe hapa
Ni mzuri haswa, anavutia.Wee hakuna cha simu ww ni mzuriiiiiiii mpk mzuriiiiiiii tena!!
Ndiomana jeuri sana hubishani na vidampa π€£π€£π€£π€£
Wazuri mna dharau sana
Poleni sana π€£Mimi pia ni Mwalimu
Dada kaweka mshahara wetu wote mezani
Hii haikubaliki
Ila Anne wewe ni mkorofi sanaπWatu wa Itel tunasema haiwezekani
Tutajibu tu mapigo,ngoja boss wetu atimbe hapa
Khaaa [emoji1787] panda juu nafuta
Khaaa [emoji1787] panda juu nafuta
Khaaa [emoji1787] panda juu nafuta
Nishaona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema sis Shunie kasimama chuma kweri kweri hapa ilikuwa lazima Sele ateme ndoano aiseee!! Halafu linaringa km halioni dis kumbe anaringia uzuri!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pale chuo tunamtoa Profesa nani wa kiswahili ili sisi tukae?Poleni sana π€£
Nawaombea mimi mfike kuwa walimu wa chuo
ππππ Mimi utajiri niutoe wapi zile ni kelele za Kantry tu..!!Na hela
Tajiri kama wewe na udugu
Hii jf mabossledi mpo watatu tuπ₯
ππππAifoni lazima inunuliweπππ
Hamna wewe ni mzuri bana wala hutumii nguvu sister πππ[emoji23] mdogo wangu usidanganyike na simu
Awwwww [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Kwanini hawakupa Miss JF dada, mbona wa moto sana jamani!!
Mi ntaliaaaaaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeokoka miaka hiiIla Anne wewe ni mkorofi sanaπ