Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaMkuu,
Toto kama hilo kulipata ni ndoto ujue 🤣 sina ubavu.
Hakika mkuu,Hahahaha
Wakubwa wanafaidi....
Bado mkuu Ila naimalika day after day..Umepona?
Ephen anatafutwa na Lucas MWASHAMBWA 😊 mfikishie taarifaUr missed au ERoni alikuwa amekuficha???
Nishaonana naeEphen anatafutwa na Lucas MWASHAMBWA 😊 mfikishie taarifa
Maisha na majukumu yananifanya niwe tight. Mwaka huu umeanza vizuri ila miezi hii mitatu imekuwa migumu sijawahi onaBado mkuu Ila naimalika day after day..
Ila sio poa Kuna muda nikiona watu wanatembea nawatamania the coming week nta enda ku attend clinic hospital kwa ajili ya kuangalia na kutoa plaster of Paris (P.O.P)
Mambo mengineo yapo powaaaa long time ago sikuoni jukwaani
Pamoja sana kaka. Vipi pande hizo?
Fresh Tu,Pamoja sana kaka. Vipi pande hizo?
Muhimu sana kaka si unajua uhai hauna spea.Fresh Tu,
Tunachukua taadhari zoote za kimbunga HIDAYA😊😊
TrueMuhimu sana kaka si unajua uhai hauna spea.
Nimuache asome sioShikamoo
Ewaaaaaa...Nimuache asome sio
Huku wapi tena