Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Haha huu ni ujasiri wa kwenye keyboard tu mdogo wangu usidanganyike hata mimi ni muoga sana basi tu, ni vile huku jf watu wanamdefine mtu kwa kuangalia muandiko wake ndio maana wengi wanadhani mimi kauzu, ila ninaofahamiana nao nje ya hapa wanajua mimi ni mtu wa aina gani
Wewe sio muoga hata kidogo tena upo smart sana kwa apa jf unaweza kuwa au kukaribiana na kiranga, kiufupi wewe ni kiranga wa kike.
 
Back
Top Bottom