Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo limepita mkwe🤸Jambo lazima litimie.
Naamini hutamuangusha kijana wangu
Babu asikilizwe saaana.🤣🤣🤣🤣Kiko!kweli Babu ni muombaji mahiri sana
Afadhali utusaidie kuipata kiurahisi 🤗Wavuta kiko mje niwauzie tumbaku
Sisi ndiyo tulibahatika kutumia kikokotoo cha zamaniMkuu, umevuta mpunga WA pension kabla ya kikokotoo hakija Anza kutumika
🤣🤣🤣🤣
Hahahahaha...imeisha hiyoAfadhali utusaidie kuipata kiurahisi 🤗
Nitawezea wapi hayo mambo Kwa Uzee huu Mjukuu 😜Babuuu,Mimi sikuwezi wewe Mzee wa mjini,wewe Kwa story zako itakuwa unakunywaga alkasusu na mchuzi wa pweza😂😂😂.....
😅😅🤗Hahahahaha...imeisha hiyo
Mimi siwezi
Miaka ya zamani ilikuwa kawaida kukuta Wanawake nao wakivuta Kiko/Sigara kaliMimi siwezi
Ushawahi kuvuta bhangi??Mimi siwezi
HapanaUshawahi kuvuta bhangi??
Huyu anaonekana ni mwimba kwaya wa church, kilevi chake utakuta ni Soda aina ya Fanta 😜Ushawahi kuvuta bhangi??