Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Bwana kapata wazimu, kashindwa kuvumilia

Kwangu akatia timu, tiba nikampatia 😊

Nikampa vitu adimu, kwako hajajionea

Amri akasalimu, na magoti kunipigia

Aaliyyah 🤣🤣🤣
Iko kinyimbo pambe niliona Roma anakiimba
 
Bwana kapata wazimu, kashindwa kuvumilia

Kwangu akatia timu, tiba nikampatia 😊

Nikampa vitu adimu, kwako hajajionea

Amri akasalimu, na magoti kunipigia

Aaliyyah 🤣🤣🤣
Iko kinyimbo pambe niliona Roma anakiimba
😃😃Ila Wii
 
Bwana kapata wazimu, kashindwa kuvumilia

Kwangu akatia timu, tiba nikampatia 😊

Nikampa vitu adimu, kwako hajajionea

Amri akasalimu, na magoti kunipigia

Aaliyyah 🤣🤣🤣
Iko kinyimbo pambe niliona Roma anakiimba
Hii nyimbo naijua tangu nipo mdogo 🤣🤣
"Amri akasalimu,magoti kunipigia

Huku akijiliaumu,kwako kapotea njia
 
Hii nyimbo naijua tangu nipo mdogo 🤣🤣
"Amri akasalimu,magoti kunipigia

Huku akijiliaumu,kwako kapotea njia
Treeeenaah.!! 👌
Hivi siku km ya leo wapi wanapiga taarabu niende 🤣🤣🤣
Haki leo nna vibe la kwenda kucheza taarabu, twende wii
 
Heeeeeeeiyaaah!!👌

Jamani uduguu wangu natamba naye uduguu/ udugu wangu

Udugu wangu mwenyewe natamba naye uduguu/ udugu wangu

Wakituona tuko pamoja wananuna uduguu/
Udugu wangu

Kwenye shida na raha tuko wote udugu/ uduguu wangu

Vizabi zabina wakituona wanavimba sura udugu/ udugu wangu

🤣🤣🤣🤣 weee uduguuu cocastic
 
Treeeenaah.!! 👌
Hivi siku km ya leo wapi wanapiga taarabu niende 🤣🤣🤣
Haki leo nna vibe la kwenda kucheza taarabu, twende wii
Tusubiri mwanahawa day my Wii ni vibe tu mambo ya
Usimwone kakonda ukadhani hali

Namlisha wali na nyama kilo mbili
 
Back
Top Bottom