Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Bwana kapata wazimu, kashindwa kuvumilia

Kwangu akatia timu, tiba nikampatia [emoji4]

Nikampa vitu adimu, kwako hajajionea

Amri akasalimu, na magoti kunipigia

Aaliyyah [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Iko kinyimbo pambe niliona Roma anakiimba
Inaitwajee udugu na kaimbaa nanii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mfyuuu!! Smart girl wa nyokwee [emoji81][emoji81]
Labda smart watch kila mtu anajitazamia masaa km yanaenda aendelee na safari yake.!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Leo nimeamka na ladha ya mwambao wa Pwani, niko ndani ya ujora wangu pambeee,
Natrambaaa na taarabu, km sio mie vileee,
Weraaaaaa, Weraaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom