Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hizo gari zina ubora Watanzania hatutumii magari mazuri kwa sababu ya kodi kubwa DRC hilo gari Kodi yake haizidi usd 3000 na chini ya hapo Goma yapo mengi na kwa bara bara zao inahitaji gari hizo Watanzania tuna kilema Cha kutotumia gari nzuri tunaona Fortuner 2008 au BMW X 5 JohannesburgSure maana kama ni ubora sio kwa kutoa $ 25,000 gari ya 1997 miaka 22 iliyopita isitishe maiage inasoma 150,000 km!
Hapa ulipia brand sio bure
Acha uvivu zama mtandaoniMkuu ukiona sehemu yoyote jeep wrangler ya dola 3,000 nishtue hata kama ipo marekani nitaifata
Ni mambo ya usasa tu ila kwangu mimi ni bora hii...Huyu mnyama kasimama balaa its my dream car but bei yake mkasi kinoma.
Ngoma ya 1997 mailage inasoma 154,000 km cc3100+ price inagonga $25,000
Za kuanzia 2003 ngoma inaanzia $34,000 kudadeki. Hii ngoma ukiikalia heshima debe ila tataizo mkwanja kaka. Its my dream car but I surender.
German machineView attachment 1211905View attachment 1211906View attachment 1211906View attachment 1211940
Afu mtoto wa bakhresa kupitia kwa yule mpambe wake Saleh Jembe wakawa wanatudanganya mitandaoni eti ile ni brabus hahah.Hiyo ndinga anayo mtoto wa bakharesa na mzungu mmoja hivi masaki ni kali balaaa
Ni mambo ya usasa tu ila kwangu mimi ni bora hii...View attachment 1214762View attachment 1214763View attachment 1214765View attachment 1214766
Alishuka kwny Landrover defender boss.Siku membe ameenda kwenye kesi yake na musiba alishuka kwenye iyo chombo pale mahakamani
Basi sikuangalia vzuri mkuuAlishuka kwny Landrover defender boss.
Poa poa mkuu.Basi sikuangalia vzuri mkuu
mbna bei kawaida hyo unajipa presha tafuta elaNgoma ya mwaka 1997 angalia bei ilivyosimamia kucha hujaweka kodi hapoView attachment 1212567