Car4Sale MERCEDES BENZ inauzwa kwa 12.5m

Car4Sale MERCEDES BENZ inauzwa kwa 12.5m

Hizo CC ni kwere, kun mwanangu mmoja amevuta VW Touareg cc 4200, kama gari yake ya kwanza baada ya kupata hela ya ghafla, hata wiki mbili hazijaisha ameanza kukopa na kuomba wese ukimuita mahali lazima akuambie utachangia mafuta, leo katimba ofisini na uber
 
5L engine capacity? Inabidi uwe na sheli home.. Dah..!!
 

Attachments

  • BG054283_8dccd4.jpg
    BG054283_8dccd4.jpg
    40.8 KB · Views: 46
Hivi vidude ni vi vampire kinyama.

5200cc bora vogue sasa.
Ila kwa wabongo hakuna kinachoshindikana ukimpata fundi mzuri anatoa hilo jini mla wese anakuwekea 1G-FE (1990cc) unasukuma Mercedes kwa bajeti ya CRESTA na unaokota vicheche wakijua wewe Don kumbe siri anaijua fundi gonga nyundo chini ya mwembe
 
Ila kwa wabongo hakuna kinachoshindikana ukimpata fundi mzuri anatoa hilo jini mla wese anakuwekea 1G-FE (1990cc) unasukuma Mercedes kwa bajeti ya CRESTA na unaokota vicheche wakijua wewe Don kumbe siri anaijua fundi gonga nyundo chini ya mwembe

Ah mkuu sio kwa kifua hicho 5200 ndio maana huwa naziona kwenye misafara tu??,na hii ni ya muda kidogo,sijui zile alizokuwa anatumia jk,naona zitakiwa na 6000kabisa[emoji2]
 
Ah mkuu sio kwa kifua hicho 5200 ndio maana huwa naziona kwenye misafara tu??,na hii ni ya muda kidogo,sijui zile alizokuwa anatumia jk,naona zitakiwa na 6000kabisa[emoji2]
Ila mkwere nae alitamba aisee
 
Ila kwa wabongo hakuna kinachoshindikana ukimpata fundi mzuri anatoa hilo jini mla wese anakuwekea 1G-FE (1990cc) unasukuma Mercedes kwa bajeti ya CRESTA na unaokota vicheche wakijua wewe Don kumbe siri anaijua fundi gonga nyundo chini ya mwembe
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom