Car4Sale MERCEDES BENZ inauzwa kwa 12.5m

Car4Sale MERCEDES BENZ inauzwa kwa 12.5m

Ila kwa wabongo hakuna kinachoshindikana ukimpata fundi mzuri anatoa hilo jini mla wese anakuwekea 1G-FE (1990cc) unasukuma Mercedes kwa bajeti ya CRESTA na unaokota vicheche wakijua wewe Don kumbe siri anaijua fundi gonga nyundo chini ya mwembe
Vitoto vya mjini wanataka gari tu mkuu, haijalishi toyota, nissan, Vw au bmw.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nibinadamu ila mkuu maisha haya cc 4966???kweli,jamaa yangu ana harria cc 3300 hata liwe jua la utosi au vumbi la jangwani hafungi vioo,anatembea na kitaulo kwaajili yakujifuta jasho na gari ina ac vizuri tu,muda mwingine anaongea pekeyake kisa jini mnywa mafuta,sasa kwa hilo hapana aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmeangalia Engine size then namba ya gari baada ya hapo hali ya uchumi then nkaja kuchek na bei yake then naelewa why linauzwa
 
Kama alinunua harrier aliangalia na kipato chake, huwezi kununua Gari inayo cost about 30m halafu ushindwe kumudu suala la mafuta.
Otherwise utakua hauna principles za maisha uliyojipangia.
N.b unaishi na kufanya mambo kwa mihemko/kuangalia macho ya watu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Usishangae mzee,mimi nina ushahidi wa watu kibao wananunua gari tena kwa mikopo ya mishahara.

Anapata gari,kisha mshahra unaobaki anakuwa anagawana na gari.bora hata uwe unaendesha kwa matukio maalumu,mitoko ya harusi na safari za mikoani za kifamilia.
 
Back
Top Bottom