Mercedes-Benz M139 engine: Engine ya 4 cylinders yenye nguvu zaidi kuwahi kutengenezwa duniani.

Mercedes-Benz M139 engine: Engine ya 4 cylinders yenye nguvu zaidi kuwahi kutengenezwa duniani.

VW R nahisi wanatoa mwaka huu au wameitoa tayari ina 4 cylinder 416HP+

Sema R imetamba sana kwenye golf.

Ila Kwenye VW R zipo karibu kila model.

Kuna sedan yao hiyo VW Passat R36...

Japo Sedan VW zina body design mbovu ila kwenye hiyo R36 walitengeneza bodi.

Gari kali sana hiyo. Kwa we mpenzi wa Sedani na mwendo hii ingekufaa. ila bei imechangamka sana.
 
Sema R imetamba sana kwenye golf.

Ila Kwenye VW R zipo karibu kila model.

Kuna sedan yao hiyo VW Passat R36...

Japo Sedan VW zina body design mbovu ila kwenye hiyo R36 walitengeneza bodi.

Gari kali sana hiyo. Kwa we mpenzi wa Sedani na mwendo hii ingekufaa. ila bei imechangamka sana.
Sedan forever zinatusaidia sanaa hizi sie kwemye mambo yetu.. kiumbe kwanza anakutana na unyunyu matata a. k. a air fureshi
 
Kuna washakaji huko ujerumani wanavotest top speed za hizi gari they dont talk anything

Wanakuonesha gari kwa nje kifuatacho ni wewe mwenyewe uisikilize gari inavyopelekewa moto.
Hahaha gari yenyewe itajitambulisha..!
Sema wenzetu wapo civilized zaidi.. Wakikuona upo moto wanakupisha fast lane upite..
 
Hahaha gari yenyewe itajitambulisha..!
Sema wenzetu wapo civilized zaidi.. Wakikuona upo moto wanakupisha fast lane upite..

Hata hivo roads za Autobahn ujerumani zipo nyingi sana.

Imagine jamaa wana zaidi ya 13000Km za autobahn roads. Humo ukijisahau unaweza ukatembea mpaka gari ikawaka moto matairi.
 
Kiukweli hapa Mercedes Benz walifanya kazi nzito. Na kweli wakaonesha umwamba wao kwamba wao ni akina nani. Hakuna engine ya 4 cylinder inayojaribu kuusogelea mziki wa hii engine hata kidogo tu.

Hii engine ndiyo ambayo imefungwa kwenye Mercedes AMG A45 S.

Hii engine ina 2.0L Twin Scroll turbo lakini inacheua 416HP. Yaani hata engine za 6 cylinder zilizo nyingi hazigusi huu mziki. 4 cylinders nyingi zinaishia around 300HP.

Hii engine ni level za V8 engines. Tena V8 zenye twin turbo, hebu imagine 3ur-fe ambayo inefungwa kwenye LC200 series ina 5.7L ila inatoa 381HP tu.

Najua wajapani wa JF wamefura kwa hasira sababu nimegusa LC200 🤣🤣🤣.

Ila nawakaribisha.

Cc: Extrovert

Picha kwa hisani ya Barabara za Autobahn.

View attachment 2054706

Merceds AMG A45 S



View attachment 2054708

Mercedes AMG E63
Fundi
Unachokosea unalinganisha vitu visivyolingana,
Mjerumani anatengeneza gari kwa ajili ya performance, mjapani anatengeneza gari kwa ajili ya service life.
The two cant be compared
Ukitaka kusema nanasi la msata ni tamu basi at least lingamisha na nanasi la bungu!
Wewe unasema nanasi la msata tamu kushinda chungwa la muheza !!! Unakosea.
 
Fundi
Unachokosea unalinganisha vitu visivyolingana,
Mjerumani anatengeneza gari kwa ajili ya performance, mjapani anatengeneza gari kwa ajili ya service life.
The two cant be compared
Ukitaka kusema nanasi la msata ni tamu basi at least lingamisha na nanasi la bungu!
Wewe unasema nanasi la msata tamu kushinda chungwa la muheza !!! Unakosea.

Hapa kuna sehemu tunapisha.

Kila kampuni huwa wanakuwa na gari ambazo ni performance line na wanakuwa na gari ambazo ni fuel Efficiency, n.k.

Mfano Benz wana AMG

BMW wana M performance

Audi wana R/R line

VW wana S/RS.

Kwa kampuni za japani sijajua kam wana mfumo formal kama ulivyo huo wa wazungu lakini kusema kwamba mjapani anatengeneza gari kwa ajili ya service life nakataa.

Kwamba hakuna gari za japan ambazo ni performance cars. Zile Nissan Nismo GTR na Nissan GTR ni nini?

Kuna Toyota Yaris na kuna Toyota GR Yaris hizo ni gari zinafanana Purpose?

Sijui labda kama Sijakuelewa.
 
Nilichomaanisha ni kwamba kwa nini umepima nguvu ya engine kwa kutumia Horsepower badala ya Torque?

Okay labda niseme hivi.

Torque ni uwezo wa gari kufanya kazi.

Wakati Horsepower ni kwa haraka kiasi gari itafanya kazi.

Purpose kwenye hiyo gari niliyoizungumza hapo ilikuwa ni mwendo. Labda ndio maana niliitaja hiyo engine kama most powerful kwa kuangalia HP.

Pia by default Torque haiwezi kuwa power.

Power ina SI unit ya W au Nm/s wakati torque ni Nm
 
Mimi ni Nani mpaka nibishane WA wajerumani? Haya magari Bana ukisoma sifa zake hasa kwenye upande WA engine na gear box huwa nakubali Sana.kuanzia Volkswagen, Mercedes-Benz,Audi na BMW hapa mjapan huwa anapata shida Sana tena sana
 
Kwani kwenye hii vita tulikubaliana na hizi zipo?
Asikutishe nawasogezea huyu mnyama:
Mercedes-Benz SLS AMG Coupe Electric Drive😁
images - 2021-12-23T221735.727.jpeg
SmartSelect_20211223-221658_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom