Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee jamaa mkali sana aiseeIkiwa zote ni mpya, nitachagua W-108 ya 1965 sababu ina muonekano mzuri na wakipekee tena wenye kuvutia.
Unyama ni mwingi sana humu ila gari Luxury ya diesel hapana. 🤣
C Class ni daraja la chini. Kama umeendesha Mercedes-Benz, C Class ni kama Premio mbele ya Crown.
Hii generation ndio alitamba nayo wa Lupaso 😀
Vivid TruthHii generation ndio alitamba nayo wa Lupaso 😀
Hii gari na premio ni mbingu na nchiIna tech flani nzuri sana, nilisha iendesha imetulia sana ndani .. View attachment 2738970
Fancy car huwezi linganisha na ordinary carHii gari na premio ni mbingu na nchi
tani mbili ni nzito inatembea sana ipo stable roadC Class ni daraja la chini. Kama umeendesha Mercedes-Benz, C Class ni kama Premio mbele ya Crown.
Nimeendesha Mercedes-Benz model ya 2002 S Class 350, ina uzito wa tani mbili. Yaani unaiburuza mashine hadi unaona raha.
motoni na mginguniHii gari na premio ni mbingu na nchi
Unyama ni mwingi sana humu ila gari Luxury ya diesel hapana. 🤣
Kwahyo siku hizi unaishangaa benz ya tajiri gani?Hizi ndio generations za Mercedes-Benz S Class kuanzia mwaka 1965 hadi 2020.
View attachment 2738809
Utoto wangu naikumbuka Mercedes-Benz S Class ya Bob Makani, Sea View Upanga. Ilikuwa model ya 1979 S 500.
Mbeya nikakutana Mercedes-Benz kali mpya ya mwaka huohuo 1993 ya tajiri Fresh ya Shamba, daily nilikuwa napita nje kwake ili niiangalie.
Halafu ninakufaje masikini wakàti kuanzia utotoni niko na high spirit ya utajiri?
Usiulize leo yangu, kesho ulizia jana yangu.