Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Dadeki pamoja na Futer yao hio yote inayotamanisha ila mdudu corona amewafungia ndani na wanahaha kutafuta dawa in a short time.
Hapo ndio unatakiwa uamini kuwa Binadamu siku zote ana maneno mengi.
They failed to see the coming of covid 19.
To hell all stupid.
 
Boss hata hii covid19 ilikua predicted na ni mojawapo kati ya future zilizokua planned ili itengenezwe vaccine for depopulation ili kuprevent Global Warming..
 
Maandiko yanasema nyakati za mwisho maarifa yataongezeka.

Kama Yesu atachelewa kurudi, nafanya bidii kuyafaidi haya.

But thread nimeikubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi ukiwa ume invest coin ukafa and familia yako awajui inamaana iyo inakua faida ya campuni?
 
hivi wajemeni hii sayansi yetu ya wachawi kutokea ukutani mara kayeyuka sio telepotration kweli
 
hivi wajemeni hii sayansi yetu ya wachawi kutokea ukutani mara kayeyuka sio telepotration kweli
Ndio wenzetu wanatumia kanuni na Kama haiviolet principle of physics wanalegallise ,hawa wachawi wetu sijui walijifunzia wapi naamini Kuna watu wanajua Siri nyingi za dunia ila hawazitumii kistaaarabu wanazitumia kuharibu badala ya kujenga au hawajui matumizi ya izo Siri may be

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maybe
 
Sawa mkuu
 
ila naamini wachawi wanajua vingi kuliko hao wazungu....badala ya kuwapiga tukiwakamata inabidi tuwakabidhi vyuo vikuu huenda tukavumbua na kuimprove vitu vingi kama usafiri wa ungo na fisi na uwezo wa kupotelea
 
Mkuu nasoma huu uzi leo 2020 na ninahisi kama umaundika mwaka 2030 wakati ilikuwa 2018...
Ahsante sana mkuu...
Ahsante sana mwenye JF...
Siku moja mwanangu atakuja kusoma hizi uzi za watu wenye kupenda Maendeleo bila ubinafsi...
Yaani umechukua muda wako ambao ungweza hata kulala ukapumzika lakini ukaona bora ndugu zako utujuze chochote kitu..
 
Uliwaza mbali
 
Mkuu dunia inaenda kasi techmkuu
Mkuu dunia inaenda kasi technolojia na kilimo ndo pesa ilipo
 
Vpi kuhusu uvuvi na utajiri wa maliasili za kwenye maji?

Sent from my MAR-LX1M using JamiiForums mobile app
Vyote hivyo bila kuhusisha technologia hakuna la maana. Kwa sababu uvuvi utahitaji vifaa vya kisasa, izo maliasili zote pia zinaitaji vifaa vya kisasa na sio mitumbwi yetu hii ya kuunga unga.
 
Mkuu una uelewa mkubwa sana aiseee, i wish uwe rafiki yangu nta gain vingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…