Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Mambo on fire now Blockchain na artificial intelligence are taking over the World and will change everything, ninachowaomba ndugu zangu nyumbani ili msiachwe nyuma someni haya mambo muyaelewe, miezi michache iliyopita nilitkuwa sehemu inaitwa Iowa niliona jinsi wanavyotumia technology kwenye kilimo nilichoona sikuamini ila kwa ufupi binadamu kwa sasa 99% hahitajiki kwenye kazi za kilimo, mzee aliniambia shamba lake la acre 1000 ana wafanyakazi wawili tuu kuanzia kutayarisha shamba, kupanda mpaka kuvuna, na niliona programmed tractors zinazolima, kupanda na zinazojiendesha zenyewe , drones zinazo scan land na kujua kinachotakiwa kufanywa, precision irrigation system inayojua wapi pa kuweka maji etc ,kingine ni blockchain maana nilikaa na mtaalam wa hayo mambo akawa ananielewesha yanavyofanya kazi especially in money transfers, loans, values, contracts etc alichoniambia traditional banking tuliyozoea soon na pesa zinazotolewa na serikali duniani zitakuwa obsolete na hakuna mtu au nchi zitakazokuwa zina control pesa kama sasa, kama una talent you will not need record label to make money maana blockchain will secure everything na hakuna mtu ataweza kukuibia au kutumia kazi yako blockchain will do everything for you you dont need youtube or wasafi to make money kwa ufupi...blockchain itabadilisha jinsi tunavyotumia na umiliki wa pesa duniani na sio pesa tuu...go educate yourself
 
Inatia huruma sana kuona vijana wakigeuzwa misukule na mirija ya kunufaisha wengine..kwanini unawanyima vijana haki yao ya kutumia akili na nguvu zao za ujanani kutafuta mali na badala yake kuwaaminisha kuwa pesa zinapatikana kwa kuweka miguu mezani na bando la internet...hii ni DHAMBI KUBWA SANA!!

Kijana inabidi UTUBU..wenzetu wanahangaika kuzalisha tangible entrepreneurs wenye biashara zinazoekeweka huku vijana wamegeuzwa misukule na uyu dogo bila kujua..

Aisee TUBUNI iyo dhambi mapema..maana kuna misukule itazeeka inatafuta mali kwenye internet kuja kustuka uko 50's uwezi ata sukuma toroli. TUBUNI HII DHAMBI
Duh nyie watu hamsaidiki na inaonekana akili yako bado iko miaka 100 iliyopita, amka kidogo kuna mengi utaona boss
 
Interesting.......dunia Itakua ya kustaajabisha..hata suala la Tafiti za uwezekano wa watu kuishi mars likikamilika Litafanya dunia iwe ni sayari ya maskini na makapuku ila wenye mikwanja yao wakina Elon musk, ndio wanaenda kuishi first life huko...Sometime napataga hisia hata baadhi ya movies za Hollywood huwa zinaelezea vitu ambavyo planned
 
Hii Fulsa watu hawana hamu nayo walishapigwa balaa[emoji1787][emoji1787]
 
Uongo mkubwa uliowahi kuongea ww bwana Ontario ni kua "Eti kuna machine ya 3D inayatumika kuprint nyumba, so baada ya miaka kama 20 watu watakua wanafyatua nyumba kwenye mashine"

-Tera La Vista
inawezekana mjomba tambua sayansi na uchawi ni mtu na mama ake.
 
Tunahitaji kukimbia wakati wenzetu wanatembea alisema Nyerere, changamoto ni kwamba wenzetu kwa sasa wanapaa!
 
Uongo mkubwa uliowahi kuongea ww bwana Ontario ni kua "Eti kuna machine ya 3D inayatumika kuprint nyumba, so baada ya miaka kama 20 watu watakua wanafyatua nyumba kwenye mashine"

-Tera La Vista
Kama mashine inafyatuwa nyumba basi haiwezi kushindwa kufyatua pesa, hii mashine kila Mtanzania atapenda kuimiliki.

Ila Ontario funga kazi kudadeki.
 
Back
Top Bottom