Meremeta 00:00:00. EXTRA

Status
Not open for further replies.
umenichekesha.. that is how I felt last night.. we gave a notice a week ago! Ila labda hali ngumu ya uchumi.. and I know wengine watakuja baada ya kupata mshiko wao.


Unajua sisi wakristo tunaamini Yesu atarudi, watu wameambiwa wajiandae kwa maana hawajui muda wala saa, sasa nakuhakikishia ingawa kila jumapili na kila siku wanaambiwa kwenye Internet na TV na Radio.

Bado Yesu atarudi na kukuta wapo watu wengine hawajaJITAYARISHA.

Ndo naona hata hapa JF
 

Ni kweli kabisa, PhD usipende vya bure. Toa pesa upate hiyo report.

tunaozungumzia hii ripoti siyo kwamba hatujalipa ili kuipata, tumelipa 30,000, tumelipa na kuisoma ili kum- support mwanakijiji lakini hiyo haituzuii kuikosoa. Ni bora tuambiwe kwamba baada ya kulipia na kuisoma wanajf haturuhusiwi kuikosoa.
 
tunaozungumzia hii ripoti siyo kwamba hatujalipa ili kuipata, tumelipa 30,000, tumelipa na kuisoma ili kum- support mwanakijiji lakini hiyo haituzuii kuikosoa. Ni bora tuambiwe kwamba baada ya kulipia na kuisoma wanajf haturuhusiwi kuikosoa.
 
Ndivyo wamekutuma uje uwasemee siyo?
 
tunaozungumzia hii ripoti siyo kwamba hatujalipa ili kuipata, tumelipa 30,000, tumelipa na kuisoma ili kum- support mwanakijiji lakini hiyo haituzuii kuikosoa. Ni bora tuambiwe kwamba baada ya kulipia na kuisoma wanajf haturuhusiwi kuikosoa.

Kwa nini unawaza kukosoa tu? na sio kuongeza inputs zako kama unazo???
 
umenichekesha.. that is how I felt last night.. we gave a notice a week ago! Ila labda hali ngumu ya uchumi.. and I know wengine watakuja baada ya kupata mshiko wao.

Usishangae mimi nitaleta mchango wangu hata kama hii ripoti itakuwa public. The issue sio hela, the issue ni hii move itself.

Naona watu wanaongelea eti hamna jipya. Ndio hata kama hamna jipya lakini mwamsho wa fikra kuhusu ufisadi bado unaendelea. Hicho ndo kitu muhimu. Lazima tuongelee haya maswala hata tukirudia rudia kama sala, hamna shida cha msingi ni kuendelea kusema na kusema kwa njia na style mbalimbali one day tutafanikiwa. I am very sure.
 
Comrade, please if you can afford do me afavour,send me the coppy of this report through my email address[EMAIL="a.scope_full@yahoo.com"].scope_full@yahoo.com.niko[/EMAIL] ktk maeneo ambayo siwezi kwa namna yoyote kutuma fedha kwenda kwa wahusika(remember their dead line).lakini nitasikitika sana kama nitashindwa kuipata.
please just trust me and do me a favour on that.
natanguliza shukrani

The future of our nation is on the hands of patriotic citizens..........
 
Leo kama si kosei ni t+2, na bado sijaona ripoti ikijadiliwa au kama imeleta impact yeyote. Vipi tena, au tusubiri t+7?
 

Mbogela; Hapo umenena, wasipokuelewa ukilaza unawasumbua, lakini umefunga kazi. thanks
 
I wish we could discuss this document lakini mie siwezi na sababu wahusika wanazijua

..anyway

kuna mtu ame scan magazeti ya Leo? wanasemaje kuhusu hii ripoti?
 
I am trying ku scan magazeti yalivyoripoti on Meremeta lakini sioni kitu jamani hebu leteni news articles ili tuweze kuscan tuone walivyoripoti on this report ...na lengo kuu ni kuona magazeti yepi ambayo hayatoi credit to JF

THIS SHOULD BE INTERESTING
 
Nani aandike magazeti ya Bongo? Wengi wanaogopa kubambikiwa wizi wa siri za serikali!
 
Nani aandike magazeti ya Bongo? Wengi wanaogopa kubambikiwa wizi wa siri za serikali!
Mwoga ataikomboaje nchi yake, au ni mshirika unaogapa kuumbuliwa na wanamtandao wenzio.
Waulize Manyerere, Rweyemamu (Salva), Rweyemamu (Mihingo) na Balile; hoi na ndani ya tope la ufisadi!
 
Kweli wote wanojifanya wana habari nyeti na moto safaro hii wameloa kabisa au kuna memo imepita ya mkwara??maana si kawaida kabisa hata udaku kimya?maana nina hakika wana copy tayari....kila mhariri anasikiliZia...
 
Watu wanasubili nani ataanza duhh wanategeana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…