Meremeta 00:00:00. EXTRA

Meremeta 00:00:00. EXTRA

Status
Not open for further replies.
Nimemwambia MwanaKijiji kuna taarifa moja muhimu sana aipate na kuichambua na ku-update Taarifa hii. Hapo atakuwa amemaliza kazi.

Na hii nayo itauzwa? Au watagaiwa waliopata ya kwanza?
 
So far so good!

There is a lot to learn on what is going on.

Wakujifunza sio sisi ni The EVILS ..... wanaotaka kulipeleka Taifa kuzimu huku wananchi wakiwa macho na fahamu zetu kamili.

Need I say more...?

The Dark Forces spining In Tz Govrnment for now it about to be completely digested ..To pure Freedom which will suprise many ... !

Helish Leaders Of The nation.... Should completely be exposed to what they are...Na haki Ichukue mkondo.

Mtazuiia Mtazuia wapi sasa...!!!

Ushauri Kidogo.

Jiosheni ...njooni Mbelele ya umma ...Jitakatisheni. Wachaneni na kupigana vita msiyo iwezo.

Mtafikiri Ninatania...!
 
Mwanajamii,

To appreciate kazi hii soma kitabu kinaitwa The Arms Deal (mtunzi nimemsahau jina, ni cha Afrika Kusini kuhusu Zuma etc).

Mkuu unamaanisha hiki?
TitleThe Arms Deal in Your Pocket
Author Paul Holden
PublisherJonathan Ball Publishers,
2008ISBN1868423131, 9781868423132
Length376 pages
SubjectsDefense industries
History / Military / General
Political Science / International Relations / General
Political corruption
South Africa



The Arms Deal in Your Pocket is a detailed analysis of why and how the arms deal has become the poisoned well of South African politics. The plethora of newspaper articles, court cases, conspiracy theories and counter-allegations surrounding the deal still leaves many scratching their heads. This book aims to clear the confusion. It starts at the roots and works its way to the present, telling the story in the simplest way possible. From what was bought, why it was bought, and what it cost: all of these are explained in a book that can be read within a day.
 
na mimi niungane na wenzangu kuwapongeza MJJ na timu yake kwa kufanya kazi kubwa kama hiyo..
kubwa zaidi ni je nini kitaafia baada ya hapo?
anyone with influence should play a part. hata wewe unayesoma hii message unayo fursa ya kuelimisha wengine na kusambaza moto ulioanzishwa na MJJ.

Na mimi nichukue nafasi hii kukupongeza Mkuu MJJ na timu yako kwa kazi kubwa mliyoifanya kukusanya data,kufanya analysis na kutoa picha ambayo haina ubishi kabisa.Kama ulivyotoa mapendekezo nafikiri tuwape muda wanaostahili kutendea kazi wafanye kazi yao.Wasipo wajibika basi tuwawajibishe tena kwa nguvu zote.

Baada ya kuisoma ripoti nimepandwa na hasira ghafla mwili wote ukalowa jasho.Kwa kweli tumeaibishwa sana na wale tuliowaweka madarakani kwa niaba yetu ili walinde rasilimali zetu.Wao ndio wamegeuka majambazi kwa kuuungana na mijizi ya nje tena yenye kutumia silaha.Tuna kila sababu ya kuwawajibisha na hakuna msaliemtume.

Aluta kontinua,mapambano yanaendelea mpaka uozo wote umetoka Serikalini.
 
Na hii nayo itauzwa? Au watagaiwa waliopata ya kwanza?

hapana ni sehemu ya hii mpya; tangu ripoti itoke jana.. taarifa mpya za kunogesha kile kilichomo zimeibuka na zimesaidia sana kuunganisha vitu mbalimbali; mojawapo ni hiyo lead aliyotoa Zitto. Hatuko katika biashara once we know we have recovered at least 80 percent ya gharama then we will know what to do.

Watu wamesahau kabisa kuwa michango hii inahusiana na safari ya kanzi kule Costa Rica vile vile na ndio sababu ya kuomba hiyo michango. Don't be too negative... I'm a dramatist and in drama, timing is everything.
 
huu ni wizi mtupu pesa na ripoti kwaajili ya maslahi ya Tiafa wapi na wapi? naona mnaondoa threads zangu kuhusu hili ila uzalendo wa kweli ni kuitoa free of churg,mafisadi wametukamua vya kutosha na nyie mnatukamua tena so tofauti yenu i wapi ... na walaaniwe wanafiki wote.
 
Na mimi nichukue nafasi hii kukupongeza Mkuu MJJ na timu yako kwa kazi kubwa mliyoifanya kukusanya data,kufanya analysis na kutoa picha ambayo haina ubishi kabisa.Kama ulivyotoa mapendekezo nafikiri tuwape muda wanaostahili kutendea kazi wafanye kazi yao.Wasipo wajibika basi tuwawajibishe tena kwa nguvu zote.

Baada ya kuisoma ripoti nimepandwa na hasira ghafla mwili wote ukalowa jasho.Kwa kweli tumeaibishwa sana na wale tuliowaweka madarakani kwa niaba yetu ili walinde rasilimali zetu.Wao ndio wamegeuka majambazi kwa kuuungana na mijizi ya nje tena yenye kutumia silaha.Tuna kila sababu ya kuwawajibisha na hakuna msaliemtume.

Aluta kontinua,mapambano yanaendelea mpaka uozo wote umetoka Serikalini.

let is sink, let it get deep within you.. and let it move from your heart to the very core of ur being... and work from that quadron.
 
well and very well.
Sijalipia kwa kuwa sina uwezo hata wa kumalizia deni langu la unga shs 15,000 (na deni linakua) kwa mangi (Bado tanesco na luku zao wananiwinda). Lakini naamini kwamba waliolipia hizo dola 30 watakuwa wamejikomboa kifikra na wataweza kulikomboa taifa letu kwa kura zao.

Nadhani ingelikuwa bora zaidi endapo kukawa na members wanaoweza kulipia vikachapishwa vipeperushi vikagawiwa mitaani watu wasome uhalisia wa hali halisi ili hatimaye tuweze kuchechemia maamuzi ya busara 2010. kwani nachelea kuwa isije ikawa shida ya jirani siye twaifanyia sherehe.
 
huu ni wizi mtupu pesa na ripoti kwaajili ya maslahi ya Tiafa wapi na wapi? naona mnaondoa threads zangu kuhusu hili ila uzalendo wa kweli ni kuitoa free of churg,mafisadi wametukamua vya kutosha na nyie mnatukamua tena so tofauti yenu i wapi ... na walaaniwe wanafiki wote.

kwanini itolewe free of charge? Nani alisema ripoti hii ni kwa ajili ya maslahi ya taifa?
 
Nadhani ingelikuwa bora zaidi endapo kukawa na members wanaoweza kulipia vikachapishwa vipeperushi vikagawiwa mitaani watu wasome uhalisia wa hali halisi ili hatimaye tuweze kuchechemia maamuzi ya busara 2010. kwani nachelea kuwa isije ikawa shida ya jirani siye twaifanyia sherehe.

... mna magereza ya kutosha; wenyewe wanasema ukiona "kobe kainama".. na kuwa "kimya kingi".. endeleeni kushabikia hii ripoti lakini vichwa vyetu vitakapowekwa kwenye kamba zilizoning'inizwa na tukaambiwe tukane yaliyomo msiwe wa kwanza kututaka tukane ili tusalimike! Kwani "shoka limekwisha wekwa kwenye mpini"...
 
Cuppy!...ooops sorry cousin nilikuwa nina swali kidogo kuhusu utumaji ya fedha kupata hiyo nakala ya meremeta.Najua unahitaji paypal lakiniku tokana na privacy za watu wengine inakuwaje kama ukitumiwa money order or western union?.just curious cuzin.
 
Last edited:
... mna magereza ya kutosha; wenyewe wanasema ukiona "kobe kainama".. na kuwa "kimya kingi".. endeleeni kushabikia hii ripoti lakini vichwa vyetu vitakapowekwa kwenye kamba zilizoning'inizwa na tukaambiwe tukane yaliyomo msiwe wa kwanza kututaka tukane ili tusalimike! Kwani "shoka limekwisha wekwa kwenye mpini"...

yeah mkuu
kama ndo ivo basi kumkoma nyani giladi. Lakini shekhe kuikana au kutoikana kunahusiana vipi na farangaz???

ninajiamini kama Galileo Galilei alivyojiamini na kujitoa mhanga kwa ukweli aliousimamia ndo maana leo tunaye ktk nyoyo zetu. Make the history bro
 
... mna magereza ya kutosha; wenyewe wanasema ukiona "kobe kainama".. na kuwa "kimya kingi".. endeleeni kushabikia hii ripoti lakini vichwa vyetu vitakapowekwa kwenye kamba zilizoning'inizwa na tukaambiwe tukane yaliyomo msiwe wa kwanza kututaka tukane ili tusalimike! Kwani "shoka limekwisha wekwa kwenye mpini"...

Bravehearts
Bruce Wills
Directed by Mel Gibson

Umenikumbsha mbali! Peter said unto him, Though I should die with thee, yet will I not deny thee. Likewise also said all the disciples. Ikawaje baadye, mmmh !

mambo huenda yakibadirika wakuu, lakini yatupasa tujiandae, tujivishe mikanda ya ujasiri, wenzetu wamechukua hatua, basi ikibidi tuwape support fulani.

wakati tunaorganise migomo Vyuoni miaka hiyo, wenzetu wakifukuzwa (hasa viongozi wa serikali ya wanfunzi) mnao baki ilikuwa ni kukaza kamba zaidi na sio kusurrender.
 
Cuppy!...ooops sorry cousin nilikuwa nina swali kidogo kuhusu utumaji ya fedha kupata hiyo nakala ya meremeta.Najua unahitaji paypal lakiniku tokana na privacy za watu wengine inakuwaje kama ukitumiwa money order or western union?.just curious cuzin.

cuz.. (nitakusemea kwa anti umeniita cuppy!); well.. kwa miaka zaidi ya mitatu tumeweza kutunza taarifa za wachangiaji wetu wote in strict and absolute confidence. Na hata sasa kuna watu wengi ambao wameweza kupata ripoti kwa kutumia CC (kwani hatuzioni namba za kadi zao).

Kwa anayetaka kutumia western union itabidi atume kwenda Tanzania kwa kupitia Max Mello na ada ya dola 9 juu!
 
Jamani tunaomba update ya magazeti juuya hili

maana wao kwa kujidi stori ni zao bila kutoa reference ndio wenyewe
 
GT.. nadhani magazeti kadhaa ambayo yamechangia kuipata nakala tuangalie matoleo ya kesho. Ulifanikiwa kufungua?
 
cuz.. (nitakusemea kwa anti umeniita cuppy!); well.. kwa miaka zaidi ya mitatu tumeweza kutunza taarifa za wachangiaji wetu wote in strict and absolute confidence. Na hata sasa kuna watu wengi ambao wameweza kupata ripoti kwa kutumia CC (kwani hatuzioni namba za kadi zao).

Kwa anayetaka kutumia western union itabidi atume kwenda Tanzania kwa kupitia Max Mello na ada ya dola 9 juu!

Sorry Cuzin!...usinisemehe ok...

And thank you for the info cuzin that is all i needed....maana kuwa watu muhimu sana wanataka hiyo meremeta na wakaniuliza maswali kadhaa kuhusu confidentiality....na nikashindwa kujibu so nitawaambia watume western union kwa huyo Max...btw Max Melo ndiyo nani sasa? and why ada ya dola 9?....
 
Sorry Cuzin!...usinisemehe ok...

And thank you for the info cuzin that is all i needed....maana kuwa watu muhimu sana wanataka hiyo meremeta na wakaniuliza maswali kadhaa kuhusu confidentiality....na nikashindwa kujibu so nitawaambia watume western union kwa huyo Max...btw Max Melo ndiyo nani sasa? and why ada ya dola 9?....

Max Mello ni mshirika muhimu katika haya; hiyo ada ya 9.95 si ndiyo ya kutumia Western Union.. ?
 
Max Mello ni mshirika muhimu katika haya; hiyo ada ya 9.95 si ndiyo ya kutumia Western Union.. ?

I know western union kuna charges za kutuma i thought charge nyingine tena kama ukitumia western union ok i got you now....Ok ngoja niwasilishe basi msg just in case kuna swali lingine nitakutaharifu cuzin ok.....keep it up the good work cuz......

cheerz.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom