Bazobonankira
Senior Member
- Jan 18, 2007
- 120
- 61
Kwa mbali naanza kukumbuka ule msemo wa "Akusaidiaye Kuokota Kuni Asubuhi, Ikifika Jioni Umkumbuke Katika Kuota Moto".
Napata hisia za wazi kuwa kwa wale wahariri na waandishi wa bongo ambao, kwa namna moja au nyingine, walineemeka au kusaidiwa na mafisadi katika kutafuta mfadhili wa njaa zao, kamwe lazima waone aibu na kuingiwa wasiwasi linapokuja suala la kuwaanika mafisadi hao. Hili liko dhahiri kabisa!!
Wanajiona wanalazimika kurudisha fadhila kwa kuwapa kajoto mafisadi wakati wa kipindi hiki cha baridi kali ya Meremeta yenye kuwatetemesha.
Kidogo kidogo tutazidi kuwajua
Napata hisia za wazi kuwa kwa wale wahariri na waandishi wa bongo ambao, kwa namna moja au nyingine, walineemeka au kusaidiwa na mafisadi katika kutafuta mfadhili wa njaa zao, kamwe lazima waone aibu na kuingiwa wasiwasi linapokuja suala la kuwaanika mafisadi hao. Hili liko dhahiri kabisa!!
Wanajiona wanalazimika kurudisha fadhila kwa kuwapa kajoto mafisadi wakati wa kipindi hiki cha baridi kali ya Meremeta yenye kuwatetemesha.
Kidogo kidogo tutazidi kuwajua