February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa kaokoka tayari...
kina nani?Ngoja waje hapa . Usije ukawakimbia tu
Kina nani PhilipoNgoja waje hapa . Usije ukawakimbia tu
Pork makes Christmas more beautiful, even Muslims accept thisHaya, Krismas bila [emoji201][emoji241][emoji200] [emoji241] haijafana
Mohammed Salah ana akili kubwa, wale Waislam wa Tandale na magomeni wakishashiba wali wa manjano watakuja kujambia hii mada
Subiri tu chakula kimeng'enywe vizuri huko tumboni mwao
Huko dubai miti ya christmas ipo kila konaMo salah atawachoma muslims nimeona hata dj khaled kaweka bonge la mti christmas sasa povu litawatoka sana muslims
Aidha alizaliwa tarehe hiyo au la...that doesn't bother much, ndiyo maana ikaitwa maadhimisho / kumbukumbu hata kama ilikuwa setted na binadamu as long as ni jambo jema kwetu shwaari Sheikh[emoji16][emoji16][emoji16].mbona mnajishtukia?
Alafu hatuna hata habari.
Atajuana na MUNGU WAKE.
kwani yesu alizaliwa tarehe 25 mwezi wa 12?
Kama umemsikiliza Habiba Khanom, journalist wa Uingereza alipohojiwa kwa swali kuwa ''Je kusherehekea Christmas ni dhambi? Alijibu kwa maandishi hivi :[emoji16][emoji16][emoji16].mbona mnajishtukia?
Alafu hatuna hata habari.
Atajuana na MUNGU WAKE.
kwani yesu alizaliwa tarehe 25 mwezi wa 12?
Aidha alizaliwa tarehe hiyo au la...that doesn't bother much, ndiyo maana ikaitwa maadhimisho / kumbukumbu hata kama ilikuwa setted na binadamu as long as ni jambo jema kwetu shwaari Sheikh
Kwani Maulid ya kuzaliwa kwa Mtume mna uhakika nayo?
Kama umemsikiliza Habiba Khanom, journalist wa Uingereza alipohojiwa kwa swali kuwa ''Je kusherehekea Christmas ni dhambi? Alijibu kwa maandishi hivi :
View attachment 1659967View attachment 1659968
Halafu hadi Mo salah nae anashangilia. MaajabuSasa kwanini mnashangilia SIKUKUU YA UONGO
mmeshindwa vipi kujua tarehe sahihi ya kuzaliwa kwa yesu?