Merry Christmass from Mo Salah

Merry Christmass from Mo Salah

February Makamba

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
2,151
Reaction score
2,983
And a happy new YearView attachment 1659464View attachment 1659465
download.jpg
 
[emoji16][emoji16][emoji16].mbona mnajishtukia?
Alafu hatuna hata habari.
Atajuana na MUNGU WAKE.
kwani yesu alizaliwa tarehe 25 mwezi wa 12?
Mohammed Salah ana akili kubwa, wale Waislam wa Tandale na magomeni wakishashiba wali wa manjano watakuja kujambia hii mada

Subiri tu chakula kimeng'enywe vizuri huko tumboni mwao
 
[emoji16][emoji16][emoji16].mbona mnajishtukia?
Alafu hatuna hata habari.
Atajuana na MUNGU WAKE.
kwani yesu alizaliwa tarehe 25 mwezi wa 12?
Aidha alizaliwa tarehe hiyo au la...that doesn't bother much, ndiyo maana ikaitwa maadhimisho / kumbukumbu hata kama ilikuwa setted na binadamu as long as ni jambo jema kwetu shwaari Sheikh

Kwani Maulid ya kuzaliwa kwa Mtume mna uhakika nayo?
 
Sasa kwanini mnashangilia SIKUKUU YA UONGO
mmeshindwa vipi kujua tarehe sahihi ya kuzaliwa kwa yesu?
Aidha alizaliwa tarehe hiyo au la...that doesn't bother much, ndiyo maana ikaitwa maadhimisho / kumbukumbu hata kama ilikuwa setted na binadamu as long as ni jambo jema kwetu shwaari Sheikh

Kwani Maulid ya kuzaliwa kwa Mtume mna uhakika nayo?
 
Back
Top Bottom