Merry Christmass from Mo Salah

Merry Christmass from Mo Salah

Kwanini tuna sheherekea na maulamaa hawatii neno?

Wapo wanaotia neno na wapo maulamaa wa mataminio ambao wanajua kweli ila kwa maslahi ya dunia yao wanaona sawa. Hvyo ndio uhalisia
 
Habiba sio Mtume rehma na amani ziwe juu yake wala swahaba wala tabii wala sii sheikh miongoni mwa mashehe wa kutumainiwa, lakini lipo wazi uislam hauna ushirikiano na dini yoyote ya kikafiri, anayesemaga maneno hayo ni either hajui au mnafiq, wenye suratul fatiha anaomba dua asiangamie wala kupotea kama wakristo na manaswara, kwenye suratul kafirun anawakataa iweje aje hapo aongee mashirikiano kwenye sikukuu za kumkufuru Allah?
Haya ni yakwako sio ya Mo Salah
 
Mohammed Salah ana akili kubwa, wale Waislam wa Tandale na magomeni wakishashiba wali wa manjano watakuja kujambia hii mada

Subiri tu chakula kimeng'enywe vizuri huko tumboni mwao
Daa!!! Watu wana maneno!!
 
Back
Top Bottom