Merry Christmass from Mo Salah

Merry Christmass from Mo Salah

Nasema hivi, dini si rai na kwakuwa umekuwa wewe ni mtu wa fikra basi endelea kufanya nao ibada makufari hata riba


Duh mtihani sana Allahul musta'an. Hadi umeenda kuchukua hadithi ya mambo ya nia ili uhalalishe lengo lako? Tatzo moja tu unatumia fikra zako badala ya dalili, mimi nazungumzi hili wewe unazungumzia lile. Hivyo naona mimi nikuche ili uendelee vizuri na hao makufari hata wakikuita kwenye sala ya bikira maria nenda tu maana wewe nia yako sio kusalia bikira maria ila nia yako ni ujirani mwema. Kwakweli
Safi sana...ISIS needs your location
 
Nasema hivi, dini si rai na kwakuwa umekuwa wewe ni mtu wa fikra basi endelea kufanya nao ibada makufari hata riba
Nikijadili na mtu alafu akafikia hatua hii basi hapo nafahamu fika kuwa mtu huyo amekariri dini na wala hajaielewa.

Wewe ndugu umekariri dini na husomi kwa kuelewa,na kukariri dini ni kubaya sana kwa sababu utakuwa na hadeeth nyingi lakini huzielewi.

Nimekupa hujja unatakiwa uzibu akhy al kariym na sio unalalamika tu.


wewe ni mtu wa fikra basi endelea kufanya nao ibada makufari hata riba
Unatakiwa uzijibu,fikra mbovu hujibiwa kwa fikra sahihi,sasa wewe unalalamika tu hapa alafu unaondoka bila hata kusahihisha hizo fikra,maana yake hoja ya kutetea unachokiamini haipo,umebakia na misimamo ambayo kimsingi haina tija yoyote katika dini.
Hadi umeenda kuchukua hadithi ya mambo ya nia ili uhalalishe lengo lako?
Wewe mbona umechukua hadithi ile ya "mwenye kujifananisha na watu ni katika wao" hii hadithi umeichukua umeipachika na munasaba wa sikukuu mbona mimi sikulalamika na hali najua hadithi hiyo imekuja kwa ijmaal wala haikutaja sikukuu ?

Kwa nini wewe iwe halali kutumia hadithi ile alafu mimi iwe shida kutumia hadithi ya nia na wewe kushangaa ?


Tatzo moja tu unatumia fikra zako badala ya dalili,
Nimekupa dalili hadithi ya nia unashangaa aunasema pph nimetumia mpaka hadithi ilee,sijui ulitaka nitumie hadithi gani.

Basi ndugu hadithi ya nia inafiti katika munaasaba wa mambo mengi AMA ULIFUNDISHWA KUWA ILE HADITHI INA SEHEMU MAALUMU ZA KUTUMIA PASI NA VILE NILIVYOTUMIA MIMI ?
mimi nazungumzi hili wewe unazungumzia lile.
Unazungumza nini ndugu mbona mimi najibu hoja zako nukta kwa nukta wewe unatakiwa ujibu pia uoneshe sehemu ambazo nimetoka nje ya maudhui na sio kusema hivyo tu,kwa sababu sio kila unalolisema ni sahihi ili liwe sahihi lazima ije hoja.
Hivyo naona mimi nikuche ili uendelee vizuri na hao makufari
Mimi nilikuambia toka mwanzo kuwa mambo ya kujibu kejeli huwa sina ndugu mimi nataka hoja na sio maneno kaka.

Wewe nenda kaka lakini tusichukiane tu.
nenda tu maana wewe nia yako sio kusalia bikira maria ila nia yako ni ujirani mwema. Kwakweli
🤣🤣🤣🤣🤣.

Maneno yangu yako wazi sana juu ya kadhia hii lakini kwa kuwa wewe ni waleee wanaokariri dini na kauli za wanazuoni bila kutumia na wao akili zao vizuri kuchambua basi sawa utaendelea kubeba misimamo mpaka utakapoamua kubadilika kaka.
 
Tatizo lenu mnataka muongopewe, uislam hauna ushirikiano na dini ingine yoyote linapokuja suala la ibada, sasa wewe unapika ubwbwa unasherehekea kuzaliwa yesu ambaye nyie mnamuita mungu alafi sisi waislamu iman yetu ni kwamba Mwenyezi Mungu hakuzaa wala hana mtoto alafu unataka tujumuike pamoja tule ubwabwa kwa ushirikiano upi? Wanafiq ni nyie mkiwa ndani mnaonesha chuki zenu mkija jukwaani mnataka umoja. Hilo halipo na halitakaa litokee kwa muislam wa kweli anayeijui dini yake.
Wenzako wengi wanakula kiti moto...
ww bado hujaanza!!?
au unapiga kwa mbaali!
dini yyte Ile upendo ndio kitu cha kwanza
 
Aidha alizaliwa tarehe hiyo au la...that doesn't bother much, ndiyo maana ikaitwa maadhimisho / kumbukumbu hata kama ilikuwa setted na binadamu as long as ni jambo jema kwetu shwaari Sheikh

Kwani Maulid ya kuzaliwa kwa Mtume mna uhakika nayo?
Waulize Bakwata ile si wametoa kwenu.
Waipoona mnaadhimisha na wao wakajitungia yao, ilaSisi katika uislam jambo hilo halina ushahidi wa uwepo wake
 
Waulize Bakwata ile si wametoa kwenu.
Waipoona mnaadhimisha na wao wakajitungia yao, ilaSisi katika uislam jambo hilo halina ushahidi wa uwepo wake
Kwani Bakwata ni Baraza la akina nani?
 
Fanya kama kazaliwa tarehe hiyo kwanini unaumia???!acha hizo nimemuona ozili naye bonge la mti krismas nyumbani kwake, dj khaled na pogba anasherekea christmas na mkewe ndani wameweka mti christmas utateseka sana
Hivi Pogba Nae Ni Muislamu? Muislamu Anaevaa Hereni, Anayepaka Nywele Dawa. Aisee Hao Ndo Waislamu Mnaowapenda
 
Nikijadili na mtu alafu akafikia hatua hii basi hapo nafahamu fika kuwa mtu huyo amekariri dini na wala hajaielewa.

Wewe ndugu umekariri dini na husomi kwa kuelewa,na kukariri dini ni kubaya sana kwa sababu utakuwa na hadeeth nyingi lakini huzielewi.

Nimekupa hujja unatakiwa uzibu akhy al kariym na sio unalalamika tu.



Unatakiwa uzijibu,fikra mbovu hujibiwa kwa fikra sahihi,sasa wewe unalalamika tu hapa alafu unaondoka bila hata kusahihisha hizo fikra,maana yake hoja ya kutetea unachokiamini haipo,umebakia na misimamo ambayo kimsingi haina tija yoyote katika dini.

Wewe mbona umechukua hadithi ile ya "mwenye kujifananisha na watu ni katika wao" hii hadithi umeichukua umeipachika na munasaba wa sikukuu mbona mimi sikulalamika na hali najua hadithi hiyo imekuja kwa ijmaal wala haikutaja sikukuu ?

Kwa nini wewe iwe halali kutumia hadithi ile alafu mimi iwe shida kutumia hadithi ya nia na wewe kushangaa ?



Nimekupa dalili hadithi ya nia unashangaa aunasema pph nimetumia mpaka hadithi ilee,sijui ulitaka nitumie hadithi gani.

Basi ndugu hadithi ya nia inafiti katika munaasaba wa mambo mengi AMA ULIFUNDISHWA KUWA ILE HADITHI INA SEHEMU MAALUMU ZA KUTUMIA PASI NA VILE NILIVYOTUMIA MIMI ?

Unazungumza nini ndugu mbona mimi najibu hoja zako nukta kwa nukta wewe unatakiwa ujibu pia uoneshe sehemu ambazo nimetoka nje ya maudhui na sio kusema hivyo tu,kwa sababu sio kila unalolisema ni sahihi ili liwe sahihi lazima ije hoja.

Mimi nilikuambia toka mwanzo kuwa mambo ya kujibu kejeli huwa sina ndugu mimi nataka hoja na sio maneno kaka.

Wewe nenda kaka lakini tusichukiane tu.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Maneno yangu yako wazi sana juu ya kadhia hii lakini kwa kuwa wewe ni waleee wanaokariri dini na kauli za wanazuoni bila kutumia na wao akili zao vizuri kuchambua basi sawa utaendelea kubeba misimamo mpaka utakapoamua kubadilika kaka.
mkuu hao ndio aina ya wale waislam wanaoweza kukupiga ngumi au kubeba bunduki kuuwa watu wengine wasioamini uislam.

mimi ni mkristo lakini nikimsoma jamaa anaonekana kabisa ni mwepesi kwenye elimu ya dini.
 
Unashangaa Salah kuvaa hayo madude na kupamba?
Hayo ndio maisha aliyoyachagua na halazimishwi kuwa unavyotaka,
Unashangazwa na hilo?
Mbona wapo waislam Wanakula pork,
Mbona wapo walevi, mbona wapo WASHIRIKINA,
INAONEKANA UNA UWEZO MDOGO MNO WA KUNG'AMUA MKUU
UISLAM UMESHAWEKA WAZIII NI JUU YA MUISLAM KUAMUA TU NJIA IPI ATUMBUKIE
nani kakuambia ninashangaa?
 
Back
Top Bottom