Merry Christmass from Mo Salah

Kwanini tuna sheherekea na maulamaa hawatii neno?

Wapo wanaotia neno na wapo maulamaa wa mataminio ambao wanajua kweli ila kwa maslahi ya dunia yao wanaona sawa. Hvyo ndio uhalisia
 
Haya ni yakwako sio ya Mo Salah
 
Mohammed Salah ana akili kubwa, wale Waislam wa Tandale na magomeni wakishashiba wali wa manjano watakuja kujambia hii mada

Subiri tu chakula kimeng'enywe vizuri huko tumboni mwao
Daa!!! Watu wana maneno!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…