Wasalimi mpembayeahhh babaaa!!!
Ipo kama ifuatavyo leo nimekutana na gari ya matangazo wakitangaza show ya msanii meseni selekta itakayofanyika mpemba-Tunduma cha ajabu na kusikitisha meseni alikuwa anafuata nyuma akiwa juu ya Alphard akiuza sura.
Sasa watu tayari tulishamuona hii inampunguzia mashabiki watakao enda kucheki show yake.
Nawasilisha.
#Emok jr
Mbona Mondi huko Mombasa kazungushwa akiwa juu ya gari na nyomi litajaa tu, huko vijijini wakmuona msanii ndipo wanaamini kuwa yupo kweliyeahhh babaaa!!!
Ipo kama ifuatavyo leo nimekutana na gari ya matangazo wakitangaza show ya msanii meseni selekta itakayofanyika mpemba-Tunduma cha ajabu na kusikitisha meseni alikuwa anafuata nyuma akiwa juu ya Alphard akiuza sura.
Sasa watu tayari tulishamuona hii inampunguzia mashabiki watakao enda kucheki show yake.
Nawasilisha.
#Emok jr
Kweli, kama hawajamuona kabisa Live kwanza, hawatakuja, watajua unawadanganya.Mbona Mondi huko Mombasa kazungushwa akiwa juu ya gari na nyomi litajaa tu, huko vijijini wakmuona msanii ndipo wanaamini kuwa yupo kweli
Kwelimzee babaa,, huku kwetu bila kumuona kabisa kabisa msanii kwanza hatuingii ukumbini ng'o,,
tuahapigwa sana viingilio vyetu na wahuni,,
Ndiyo Ndiyo.Promoters wa vijijini wamekuwa na tabia ya kuleta wasanii feki(replica) hususani hawa wasio maarufu sana kama Mensen Selekta. Sasa baada ya raia kuishtukia ndio maana ili upate watu wa kuingia lazima umtembeze msanii watu wa confirm kuwa ni yeye na sio replica