Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
psg itkua yamotoo msimu huu mpyaAnaenda PSG kutengeneza deadly attacking combination ever,
Neymar - Messi - Mbape.
Usimsahau mtu mbadiiii Angél Di MariaAnaenda PSG kutengeneza deadly attacking combination ever.
Neymar - Messi - Mbape.
Mwenye mpira wake, tutakumiss sana.. uendako niko na wewe king of the world ever
Thanks BAK kwa taarifa.. ubarikiwe mkuu
Noma Sana ,Kama Mwamba alikubali Mtonyo ushushwe kwa 50% lakini ngoma ilikataliwa,hakuna namba kila kitu kina mwisho...Ndio tatizo la kupokea mishahara mikubwa ,siku ikikata lazima kichwa kiwake moto.
Hawa jamaa wenye timu ni makatili, kama walivyo kufanyia Ronaldo wa Ureno kwenda JuvePole Mesi, Babra na Mo walikunyanyasa sana bora uhamie PSG.
Umewaaga mashabiki wako kwa Machozi ya huzuni, nakutakia mema huko uendako.
Tubarikiwe wote Mkuu. Jamaa alikubali kupunguza mshahara wake kwa 50% ili amalizie uchezaji wake BARCA lakini bado ikashindikana. COVID-19 nayo imechangia sana mapato ya timu nyingi duniani kuanguka sana. 🙏🏾
It's so hard to say goodbye
Ramos nae si kahamia ukoUsimsahau mtu mbadiiii Angél Di Maria
Yeahh beki katili!Ramos nae si kahamia uko
Jambazi 😂Yeahh beki katili!