Messi aitunishia misuli Serikali ya Israel, Serikali yafyata

Uzuri wa mada za Israel and Palestine haziishi mapema.
Wenye dini zao wataingia humohumo
Wanaotumia dini ni warabu na washirika wao wanaopinga ulaji wa kitimoto. Wakristo hawatumii dini kumtetea Israel, bali ni ukweli wa maandiko tu. Hupaswi kusema uongo wakati ukweli upo na unajulikana
 
Isamael kapewa Ardhi,Mungu aliwaamrisha Ibrahim(Abraham) na mwanawe Ismael(Ishmail) wajenge Nyumba ya kuabudu katika Ardhi aliyowapa,Nyumba hiyo inaitwa "Kaaba" iko Mekka,waislam wamearishwa na Mungu kwenda kuitembelea na kumuenzi Mungu mwaka mara moja…,

Isihaka(Issac),Wayahudi wamepewa nini1??
 
Wanaotumia dini ni warabu na washirika wao wanaopinga ulaji wa kitimoto. Wakristo hawatumii dini kumtetea Israel, bali ni ukweli wa maandiko tu. Hupaswi kusema uongo wakati ukweli upo na unajulikana
Biblia inakataza ulaji wa Ngurue(kiti moto),wakrito wanakula Ngurue,hawakati govi,hawajisafishi kwa maji wanapomaliza kwenda chooni, kwasababu wanafata dini ya Paulo aka Saul
 
Mayahudi wanamkubali Yesu/Nabii Issa?? Wanaukubali ukristo pia?
Hapo ndo unachanganya. Kwanza si kila mkristo anamtetea Israel, na mnaona Nyerere alikataa kuwa na mahusiano nao.

Na mkristo akimtetea Israel, hafanyi hivyo kwa ufanano wa dini zao, bali ni kuchbua historia na kuamua kusimamia ukweli.

Huwezi acha kusimamia ukweli eti kwa sababu wanampinga Kristo, la hasha. Kama taifa nao wamegawanyika. Yupo myahudi ni Myahudi kwa dini, yupo mkristo kwa dini na yupo muislam kwa dini na wapo ambao hawana dini kabisa.

Kubwa ni kusimamia ukweli tu, siyo kama nyie mnaoamua kuwatetea kwa sababu ya dini zenu kufanana, hayo ni sawa na mahaba tu
 
Ha ha ha
 
😀😀 imekuwaje Gaza City na Jerusalem City leo hii sio sehemu moja?
 
Ukumbuke kuna wahamiaji halali na wahamiaji haramu. Hawa wanaofukuzwa ni wahamiaji halali, wakati JK alifukuza wahamiaji haramu. Tusiwe wepesi wa kuhukumu kidini kabla ya kutafakuri na kutafuta ufumbuzi yakinifu wa matatizo ya kibinaadamu. Ukirejea historia ya Waisrael na safari yao ya kurudi nyumbani ni vema ukakumbuka umuhimu wa Ethiopia na hasa ukumbuke hao walofukuzwa wengine walikuwa na vinasaba vya Uisrael:
http://www.jewishpostandnews.ca/features/2461-test
Ethiopian Jews Threaten Mass Hunger Strike over Israel Move
 
Duuuh, wahangaikaji ambao wamewatesa warabu miaka nenda rudi. Basi sawa
 
Siyo wote waliompinga, wapo waliompokea. Uzuri unatambua kuwa Yesu ni mtume wa mwenyezimungu. Ila usicho jua ni kuwa Yesu hakuna kwa ajili ya Israel tu, bali hata kwa mataifa.

Soma hapa kwa mfano umjue Yesu kwa ufupi tu.

Matahayo 28:18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
 
Wanaotumia dini ni warabu na washirika wao wanaopinga ulaji wa kitimoto. Wakristo hawatumii dini kumtetea Israel, bali ni ukweli wa maandiko tu. Hupaswi kusema uongo wakati ukweli upo na unajulikana

Sasa hayo maandiko umeyatoa kwenye bichwa lako?

Hiyo dini bila maandiko itakamilika?

Wakristo wa Afrika (maana wazungu wanajitambua hawana huu ujinga wenu) mnatumia dini kuitetea israel ndio maana mna kosa hoja ya maana .
 

Wewe haujui ukweli kua Uislam umeanzishwa na Papa?Kama haujui inabidi utafute zaidi kujua,ujue nini maana ya mwezi juu ya misikiti,umwelewe pia Waraq ibn Nawfal padiri aliyemfundisha mtume Mudy kusoma,na kumfundisha torati,zaburi na injili na kumwambia wewe utakua ni mtume.Ukishajua hayo unakaribishwa kuuliza swali kama jinsi mtume Mohamad alivyowaambia akili yenu ikifika mwisho mje kwetu watu wa kitabu tuwaelimishe
 
Ha ha ha mkuu Chabuso, soma hiki kitabu kikusaidie..

Masikini waislam, yaani hujui Saul ndiye mfalme wa kwanza wa Israel? Siyo kila Saul ndiye Paul, Paul ni mtoto mdogo sana, alikuwepo Saul wa enzi hizo.

Ngoja nikupe andiko.

1Samwel 8:4 Ndipo wazee wote wa Israeli wakakutana pamoja, wakamwendea Samweli huko Rama;
5 wakamwambia, Angalia, wewe umekuwa mzee, na wanao hawaendi katika njia zako; basi, tufanyie mfalme atuamue, mfano wa mataifa yote.


1Samwel 9:16 Kesho, wakati kama huu, nitakuletea mtu kutoka nchi ya Benyamini, nawe mtie mafuta ili awe mkuu juu ya watu wangu Israeli, naye atawaokoa watu wangu na mikono ya Wafilisti; maana nimewaangalia watu wangu, kwa sababu kilio chao kimenifikilia.
17 Hata Samweli alipomwona Sauli, BWANA akamwambia, Huyu ndiye niliyekuambia habari zake; huyu ndiye atakayewamiliki watu wangu.

1Samwel 10:1 Ndipo Samweli akatwaa kichupa cha mafuta, akayamimina kichwani pake, akambusu, akasema, Je! BWANA hakukutia mafuta [uwe mkuu juu ya watu wake Israeli? Nawe utamiliki watu wa BWANA, na kuwaokoa na mikono ya adui zao; kisha hii itakuwa ishara kwako ya kuwa BWANA amekutia mafuta] uwe mkuu juu ya urithi wake.
17 Basi Samweli akawakusanya watu mbele za BWANA huko Mispa
18 akawaambia wana wa Israeli, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Naliwatoa Israeli kutoka Misri, nami naliwaokoa ninyi na mikono ya Wamisri, na ya falme zote zilizowaonea;
19 lakini leo mmemkataa Mungu wenu, naye ndiye awaponyaye katika misiba yenu yote na shida zenu; nanyi mmemwambia, Sivyo, lakini weka mfalme juu yetu. Basi, sasa, hudhurieni mbele za BWANA, kwa kabila zenu na kwa elfu zenu.
20 Basi Samweli akawaleta kabila zote za Israeli karibu; na kabila ya Benyamini ikatwaliwa.
24 Samweli akawaambia watu wote, Mnamwona mtu huyu aliyechaguliwa na BWANA, ya kuwa hakuna mtu mfano wake katika watu wote. Ndipo watu wote wakapiga kelele, wakasema, Mfalme na aishi!
 
Ndo wanarudi kwao sasa, mpaka wavamiz wataomba poo
 
Sasa ilikuwaje wakafika Israel wakati urithi wao uko mekka? Huoni ndo uchokozi?

Halafu leta aya, maana sisi wasoma biblia tunasoma Ismail na mama yake walifukuzwa wasiwe warithi. Labda alijiongeza tu kwa kuwa alikuwa na damu ya kiyahudi tu
 
yaap daudi ndie alimrithi saul
 
Biblia inakataza ulaji wa Ngurue(kiti moto),wakrito wanakula Ngurue,hawakati govi,hawajisafishi kwa maji wanapomaliza kwenda chooni, kwasababu wanafata dini ya Paulo aka Saul
Ha ha ha buji njoo umjibu hili
 
Sasa hayo maandiko umeyatoa kwenye bichwa lako?

Hiyo dini bila maandiko itakamilika?

Wakristo wa Afrika (maana wazungu wanajitambua hawana huu ujinga wenu) mnatumia dini kuitetea israel ndio maana mna kosa hoja ya maana .
Dini gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…